Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,192
- 1,978
- Thread starter
- #41
Mkuu,Tanzania kila mwenye uwezo wa kutumia mtandao anakuwa msomi! Lahasha kutafsiri sheria ni zaid ya kuwa msomi.
Hiv tunaopiga upatu kuwa rasimu ya 3 ni nzur tumeangalia nin?,uzur wa katiba si uwingi wa mambo na si kusa kila jambo tu bali namna gani inawaelekeza viongoz miiko na maadili namna ya kufikia mambo hayo machache au mengi.katiba pendekez imekosa hofu ya viongozi kutoka kwa wananchi kwa maana hiyo tutegemee mabadiliko chanya kidogo au yasiwepo kabisa.
Mada hii haihusiani na uzuri au ubaya wa Rasimu bali issue ni kwamba Rasimu ya Warioba ni Sheria au la!