Rais Kikwete ni extra ordinary

Rais Kikwete ni extra ordinary

Kuna mahali alisema, "...kama kuna mtu atakaye ona mapungufu kwenye hii katiba basi ana matatizo..."
"...wakati huo nilikuwa kijana na kidume kweli. Nilikuwa sijamzaa mwanagu rz1" Oct, 09, 2014 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.

 
Jana wakati akipokea Katiba pendekezwa ambayo inasubiri kwenda kupigiwa kura na wananchi, Rais Kikwete alisema hivi "Hatuwezi kusema kama tutaendelea na mchakato kwa sasa, au tatasitisha hadi mwakani kwa sababu mazungumzo bado yanaendelea."

Rais Kikwete aliitangazia dunia jana kuwa hata yeye hajui mchakato unaendelea lini, kama ni sasa au ni baada ya uchaguzi mwakani. Wengi walidhani Rais yupo sahihi kuwa hajui lini mchakato unaendelea. Ukweli ni kwamba Rais alitoa kauli ile ili kuondoa sintofahamu iliyopo kwny jamii kuhusu lini mchakato huu unaendelea.

Sintofahamu hii inatokana na kupingana kwa kauli za watu wawili ambao wote wanadai wametumwa na Rais Kikwete.

Wa kwanza ni Waziri, AshaRose Migiro aluyesema "Mchakato unaendelea kama kawaida, waTZ wajiandae kupiga kura ya maoni."

Wa pili ni Mzee John Cheyo aliyesema bungeni kuwa "Mchakato utasitishwa hadi baada ya uchaguzi mkuu mwakani".

Baada ya kauli ya Migiro na ya Cheyo kupingana, Rais Kikwete ameshindwa kuwa na msimamo. Ameogopa kuegemea upande wa Cheyo (aliyefanya nae mazungumzo Ikulu) au wa Migiro (aliyemteua). So ameamua kuwa "neutral" kwa kusena hajui mxhakato utaendelea lini, ili asimkwaze Migiro wala Cheyo.

MY TAKE.!
Miongoni mwa hasara kubwa tulizonazo watanzania ni pamoja na kuwa Rais asiye na msimamo. Sifa kubwa ya kiongozi bora ni kuwa na MSIMAMO na kuutetea msimamo huo hata kama utapingwa na wengi. Kama ni msimamo wenye maslahi kwa umma usimamie na usiyumbeyumbe. Hii itakujengea heshima kubwa hata utakapoondoka madarakani.

Mao Tse Tsung ni miongoni mwa viongozi waliokua na misimamo mikali sana. Na bahati mbaya misimamo yake mingi ilipingwa na wananchi wengi wa China.. lakini hakubadili misimamo yake licha ya kupingwa na wengi.. maana alijua ni misimamo yenye tija kwa taifa.. na leo China inanufaika sana na misimamo ileile ya Mao Tse Tung waliyoipinga zamani.

Hapa kwetu Rais Kikwete hana misimamo kwa sababu anapenda kuonekana mzuri kotekote. Hapendi kukwaza upande "A" wala upande "B". Anataka kote aonekane mwema.

Rais Kikwete wakati anahutubia jana alijua kabisa kuwa Waziri wake wa Sheria, Migiro alishasema mchakato unaendelea. Na alijua pia kuwa vyama vya siasa kupitia kwa mzee Cheyo vilishasema hadi mwakani baada ya uchaguzi.

Sasa Kikwete jana akaona akisema mchakato unaendelea ataonekana mbaya kwa kina Cheyo, na akisema unasitishwa hadi mwakani atatofautiana na waziri wake Migiro. Kwa hiyo eti akaamua kukaa katikati kwa kusema "mazungumzo yanaendelea". Ajabu sana hii. mazungumzo yapi? Na nani? Na yataendelea hadi lini?

Lakini tabia hii ya Rais Kikwete ya kupenda kuwa Padri na Imamu kwa wakati mmoja si ya jana wala juzi, nadhani ni ya kuzaliwa (inborn character). Maana mambo mengi sn amekuwa katikati hata yale ambayo alitakiwa kuonesha msimamo wake kama kiongozi mkuu wa nchi.

Wakati wa sakata Dowans Rais Kikwete aliwahi kusema "suala hili tulishaanza kuona lina walakini tangu mwanzo". Lakini Dowans hiyohiyo ilipojibadili jina kuwa Symbion, ni Kikwete huyohuyo aliyemualika Rais Obama na kwenda kuzindua mitambo. Akazindua mitambo ya watu walewale aliosema ameona wana "walakini" tangu mwanzo.

Tunashindwa tumueleweje Rais wetu. Si moto, si baridi. Si mweupe si mweusi. Hakubali wala hakatai. Rais asiye na msimamo.

Mwanafalsafa Plato aliwahi kusema "nothing can be and not be, at the same time in the same context"... Yani kitu hakiwezi kuwepo halafu tena kisiwepo kwa wakati huohuo na kwa namna hiyohiyo.

Yani huwezi kuwa mnene halafu tena ukawa mwembamba kwa wakati huohuo. Huwezi kuwa mweupe halafu tena ukawa mweusi kwa wakati huohuo...Mtu pekee duniani aliyeweza kuwa mnene na mwembamba kwa wakati mmoja... akawa mweusi na mweupe kwa wakati huohuo ni Rais wetu mtukufu Jakaya Kikwete. Our President is Extra Ordinary.!!

JIPU LIMEPASUKA, SIWEZI KUWA ADUI KWA KUSEMA UKWELI.!

Malisa GJ || Your Partner In Critical Thinking.!

baba yako ni extra extra extra ordinary
 
Nakuunga mkono kaka;sijawahi kumshangaa kiongozi yeyote kama JK.Huwa najiuliza ana lengo gani na hii nchi!
 
Raisi Kikwete ni raisi dhaifu, hana maamuzi yoyote ya maana zaidi ya kubebewa akili na Lukuvi na Wassira.
 
Yaaani hotuba ya Mh jana, duuuuu! soga tupu za Msoga, aliniacha hoi aliposema " nani kama wajumbe wa bunge la katiba? Akina mama ambao ni migongo ya kupandia kwa wanasiasa," le le le leeee! Nikajua kweli TZ kazi tunayo
 
Jana wakati akipokea Katiba pendekezwa ambayo inasubiri kwenda kupigiwa kura na wananchi, Rais Kikwete alisema hivi "Hatuwezi kusema kama tutaendelea na mchakato kwa sasa, au tatasitisha hadi mwakani kwa sababu mazungumzo bado yanaendelea."

Rais Kikwete aliitangazia dunia jana kuwa hata yeye hajui mchakato unaendelea lini, kama ni sasa au ni baada ya uchaguzi mwakani. Wengi walidhani Rais yupo sahihi kuwa hajui lini mchakato unaendelea. Ukweli ni kwamba Rais alitoa kauli ile ili kuondoa sintofahamu iliyopo kwny jamii kuhusu lini mchakato huu unaendelea.

Sintofahamu hii inatokana na kupingana kwa kauli za watu wawili ambao wote wanadai wametumwa na Rais Kikwete.

Wa kwanza ni Waziri, AshaRose Migiro aluyesema "Mchakato unaendelea kama kawaida, waTZ wajiandae kupiga kura ya maoni."

Wa pili ni Mzee John Cheyo aliyesema bungeni kuwa "Mchakato utasitishwa hadi baada ya uchaguzi mkuu mwakani".

Baada ya kauli ya Migiro na ya Cheyo kupingana, Rais Kikwete ameshindwa kuwa na msimamo. Ameogopa kuegemea upande wa Cheyo (aliyefanya nae mazungumzo Ikulu) au wa Migiro (aliyemteua). So ameamua kuwa "neutral" kwa kusena hajui mxhakato utaendelea lini, ili asimkwaze Migiro wala Cheyo.

MY TAKE.!
Miongoni mwa hasara kubwa tulizonazo watanzania ni pamoja na kuwa Rais asiye na msimamo. Sifa kubwa ya kiongozi bora ni kuwa na MSIMAMO na kuutetea msimamo huo hata kama utapingwa na wengi. Kama ni msimamo wenye maslahi kwa umma usimamie na usiyumbeyumbe. Hii itakujengea heshima kubwa hata utakapoondoka madarakani.

Mao Tse Tsung ni miongoni mwa viongozi waliokua na misimamo mikali sana. Na bahati mbaya misimamo yake mingi ilipingwa na wananchi wengi wa China.. lakini hakubadili misimamo yake licha ya kupingwa na wengi.. maana alijua ni misimamo yenye tija kwa taifa.. na leo China inanufaika sana na misimamo ileile ya Mao Tse Tung waliyoipinga zamani.

Hapa kwetu Rais Kikwete hana misimamo kwa sababu anapenda kuonekana mzuri kotekote. Hapendi kukwaza upande "A" wala upande "B". Anataka kote aonekane mwema.

Rais Kikwete wakati anahutubia jana alijua kabisa kuwa Waziri wake wa Sheria, Migiro alishasema mchakato unaendelea. Na alijua pia kuwa vyama vya siasa kupitia kwa mzee Cheyo vilishasema hadi mwakani baada ya uchaguzi.

Sasa Kikwete jana akaona akisema mchakato unaendelea ataonekana mbaya kwa kina Cheyo, na akisema unasitishwa hadi mwakani atatofautiana na waziri wake Migiro. Kwa hiyo eti akaamua kukaa katikati kwa kusema "mazungumzo yanaendelea". Ajabu sana hii. mazungumzo yapi? Na nani? Na yataendelea hadi lini?

Lakini tabia hii ya Rais Kikwete ya kupenda kuwa Padri na Imamu kwa wakati mmoja si ya jana wala juzi, nadhani ni ya kuzaliwa (inborn character). Maana mambo mengi sn amekuwa katikati hata yale ambayo alitakiwa kuonesha msimamo wake kama kiongozi mkuu wa nchi.

Wakati wa sakata Dowans Rais Kikwete aliwahi kusema "suala hili tulishaanza kuona lina walakini tangu mwanzo". Lakini Dowans hiyohiyo ilipojibadili jina kuwa Symbion, ni Kikwete huyohuyo aliyemualika Rais Obama na kwenda kuzindua mitambo. Akazindua mitambo ya watu walewale aliosema ameona wana "walakini" tangu mwanzo.

Tunashindwa tumueleweje Rais wetu. Si moto, si baridi. Si mweupe si mweusi. Hakubali wala hakatai. Rais asiye na msimamo.

Mwanafalsafa Plato aliwahi kusema "nothing can be and not be, at the same time in the same context"... Yani kitu hakiwezi kuwepo halafu tena kisiwepo kwa wakati huohuo na kwa namna hiyohiyo.

Yani huwezi kuwa mnene halafu tena ukawa mwembamba kwa wakati huohuo. Huwezi kuwa mweupe halafu tena ukawa mweusi kwa wakati huohuo...Mtu pekee duniani aliyeweza kuwa mnene na mwembamba kwa wakati mmoja... akawa mweusi na mweupe kwa wakati huohuo ni Rais wetu mtukufu Jakaya Kikwete. Our President is Extra Ordinary.!!

JIPU LIMEPASUKA, SIWEZI KUWA ADUI KWA KUSEMA UKWELI.!

Malisa GJ || Your Partner In Critical Thinking.!


Kiukweli Kikwete Jana alitakiwa kuwa wazi Juu ya kura ya Maoni....bila kupepesa macho ....Kama Sheria imetamka wazi ni lini angebase kwenye Sheria ..,na mengine angewaachia technical team ya attorney general chamber

Pengine tunaona katiba ni Mbaya lakini utekelezaji UKianza watu watakubali Kwani hakuna jambo zuri LINALOpata uungwaji mkono 100% linapoanza
 
Jana wakati akipokea Katiba pendekezwa ambayo inasubiri kwenda kupigiwa kura na wananchi, Rais Kikwete alisema hivi "Hatuwezi kusema kama tutaendelea na mchakato kwa sasa, au tatasitisha hadi mwakani kwa sababu mazungumzo bado yanaendelea."

Rais Kikwete aliitangazia dunia jana kuwa hata yeye hajui mchakato unaendelea lini, kama ni sasa au ni baada ya uchaguzi mwakani. Wengi walidhani Rais yupo sahihi kuwa hajui lini mchakato unaendelea. Ukweli ni kwamba Rais alitoa kauli ile ili kuondoa sintofahamu iliyopo kwny jamii kuhusu lini mchakato huu unaendelea.

Sintofahamu hii inatokana na kupingana kwa kauli za watu wawili ambao wote wanadai wametumwa na Rais Kikwete.

Wa kwanza ni Waziri, AshaRose Migiro aluyesema "Mchakato unaendelea kama kawaida, waTZ wajiandae kupiga kura ya maoni."

Wa pili ni Mzee John Cheyo aliyesema bungeni kuwa "Mchakato utasitishwa hadi baada ya uchaguzi mkuu mwakani".

Baada ya kauli ya Migiro na ya Cheyo kupingana, Rais Kikwete ameshindwa kuwa na msimamo. Ameogopa kuegemea upande wa Cheyo (aliyefanya nae mazungumzo Ikulu) au wa Migiro (aliyemteua). So ameamua kuwa "neutral" kwa kusena hajui mxhakato utaendelea lini, ili asimkwaze Migiro wala Cheyo.

MY TAKE.!
Miongoni mwa hasara kubwa tulizonazo watanzania ni pamoja na kuwa Rais asiye na msimamo. Sifa kubwa ya kiongozi bora ni kuwa na MSIMAMO na kuutetea msimamo huo hata kama utapingwa na wengi. Kama ni msimamo wenye maslahi kwa umma usimamie na usiyumbeyumbe. Hii itakujengea heshima kubwa hata utakapoondoka madarakani.

Mao Tse Tsung ni miongoni mwa viongozi waliokua na misimamo mikali sana. Na bahati mbaya misimamo yake mingi ilipingwa na wananchi wengi wa China.. lakini hakubadili misimamo yake licha ya kupingwa na wengi.. maana alijua ni misimamo yenye tija kwa taifa.. na leo China inanufaika sana na misimamo ileile ya Mao Tse Tung waliyoipinga zamani.

Hapa kwetu Rais Kikwete hana misimamo kwa sababu anapenda kuonekana mzuri kotekote. Hapendi kukwaza upande "A" wala upande "B". Anataka kote aonekane mwema.

Rais Kikwete wakati anahutubia jana alijua kabisa kuwa Waziri wake wa Sheria, Migiro alishasema mchakato unaendelea. Na alijua pia kuwa vyama vya siasa kupitia kwa mzee Cheyo vilishasema hadi mwakani baada ya uchaguzi.

Sasa Kikwete jana akaona akisema mchakato unaendelea ataonekana mbaya kwa kina Cheyo, na akisema unasitishwa hadi mwakani atatofautiana na waziri wake Migiro. Kwa hiyo eti akaamua kukaa katikati kwa kusema "mazungumzo yanaendelea". Ajabu sana hii. mazungumzo yapi? Na nani? Na yataendelea hadi lini?

Lakini tabia hii ya Rais Kikwete ya kupenda kuwa Padri na Imamu kwa wakati mmoja si ya jana wala juzi, nadhani ni ya kuzaliwa (inborn character). Maana mambo mengi sn amekuwa katikati hata yale ambayo alitakiwa kuonesha msimamo wake kama kiongozi mkuu wa nchi.

Wakati wa sakata Dowans Rais Kikwete aliwahi kusema "suala hili tulishaanza kuona lina walakini tangu mwanzo". Lakini Dowans hiyohiyo ilipojibadili jina kuwa Symbion, ni Kikwete huyohuyo aliyemualika Rais Obama na kwenda kuzindua mitambo. Akazindua mitambo ya watu walewale aliosema ameona wana "walakini" tangu mwanzo.

Tunashindwa tumueleweje Rais wetu. Si moto, si baridi. Si mweupe si mweusi. Hakubali wala hakatai. Rais asiye na msimamo.

Mwanafalsafa Plato aliwahi kusema "nothing can be and not be, at the same time in the same context"... Yani kitu hakiwezi kuwepo halafu tena kisiwepo kwa wakati huohuo na kwa namna hiyohiyo.

Yani huwezi kuwa mnene halafu tena ukawa mwembamba kwa wakati huohuo. Huwezi kuwa mweupe halafu tena ukawa mweusi kwa wakati huohuo...Mtu pekee duniani aliyeweza kuwa mnene na mwembamba kwa wakati mmoja... akawa mweusi na mweupe kwa wakati huohuo ni Rais wetu mtukufu Jakaya Kikwete. Our President is Extra Ordinary.!!

JIPU LIMEPASUKA, SIWEZI KUWA ADUI KWA KUSEMA UKWELI.!

Malisa GJ || Your Partner In Critical Thinking.!
jina lako tuuu(MALISA) linatosha kumjulisha mtu kuhusu andiko lako kabla hata hajalisoma. vipi jamhuri ya kaskazini bado mnaendelea na mikakati ya kuiunda???
risala ya kikwete ni hotuba bora kabisa kwa vigezo vyoote na amewazima vibaya nyie wajinga mnaotaka mwanya ili mumsakame kuwa ametoa ahadi hewa. sisi tunasubiri chochote kitakachoamuliwa na wao tunaenda pamoja
 
Mimi kweli sipendi siasa za tanzania. Nilitarajia kingekuwa ni kitu kidogo kabisa.

1. Kupokea mapendekezo

2. Kuwashukuru wana kamati

3. Kuwasisitiza wananchi kuipokea na kuisoma kwa MAKINI kuona kama kila hitaji lao limeguswa bila kujali wajumbe wanavyoinadi. Wasiwasikilize wajumbe waisome tena wao wenyewe wananchi. Kila kipengele wanachodhan kinagusa maisha yao..je kipo? Kipo wanavyokitaka kiwepo?

4. Wajitokeze kwa wingi kupiga kura. Haijalishi ni ndiyo ama hapana. Wapige kutokana na upeo wao wa rasimu hiyo na chochote kitakachoamuliwa nao kitakuwa final maana si katiba ya wajumbe ni katiba ya wananchi.

5. Mungu ibariki Afrika. Mungu ibariki Tanzania. Asanteni kwa kunisikiliza.

Duration: 30 minutes
Aksante mkuu.Kikwete hana uwezo wa namna hii.
 
jina lako tuuu(MALISA) linatosha kumjulisha mtu kuhusu andiko lako kabla hata hajalisoma. vipi jamhuri ya kaskazini bado mnaendelea na mikakati ya kuiunda???
risala ya kikwete ni hotuba bora kabisa kwa vigezo vyoote na amewazima vibaya nyie wajinga mnaotaka mwanya ili mumsakame kuwa ametoa ahadi hewa. sisi tunasubiri chochote kitakachoamuliwa na wao tunaenda pamoja
wewe u miongoni wa watu wanaotembea barabarani wakiwa marehemu ndo maana hujielewi-unapelekwa tu kama Mkokoteni-pole sana
 
Dunia haijawahi kuwa na raisi kama Jk hana maamuzi magumu kila kitu anaambiwa na Wassira na Lukuvi hiyo aibu ya jana haijawahi kutokea tanzania ccm ni janga la taifa
 
wewe u miongoni wa watu wanaotembea barabarani wakiwa marehemu ndo maana hujielewi-unapelekwa tu kama Mkokoteni-pole sana
na wewe ni sawa na maiti inayosubiriwa kuzikwa muda wowote ndo hujitambui kabisa
 
Mi nasikia harufu ya damu. Huwezi kuendesha ubabe namna hii tena kwa masuala ya watu halafu unaendelea kujifaragua kwa majivuno na ukabaki salama. History will judge you. CCM na viongozi wao wachumia tumbo your days are numbered na kitakachoenda kuwamaliza ni shule za kati ndio watakuwa the vanguard. Kama unabisha soma Mwongozo wa TANU 1971, Mwongozo wa CCM 1981, Programu ya CCM 1987, Hotuba ya Mwalimu Nyerere 1987 alipokuwa anaacha uenyekiti wa CCM, Hotuba ya Mwalimu ya 1992 kwa Mkutano Mkuu wa CCM uliopitisha mfumo wa vyama vingi. Jipimeni mko wapi kama sio mita chache tu kutoka kuzimu.
 
Kuna watu wanaweweseka sana. Ukweli ni kwamba, whether kura ya maoni itabigwa kabla au baada ya uchaguzi, bunge maalum limetimiza wajibu wake na hatua hiyo haitarudiwa

Sawa ila kubali kataa, watanzania ni misukule wasijitambua!
 
RAIS KIKWETE NI "EXTRA ORDINARY".!
Jana wakati akipokea Katiba pendekezwa ambayo inasubiri kwenda kupigiwa kura na wananchi, Rais Kikwete alisema hivi "Hatuwezi kusema kama tutaendelea na mchakato kwa sasa, au tatasitisha hadi mwakani kwa sababu mazungumzo bado yanaendelea."
Rais Kikwete aliitangazia dunia jana kuwa hata yeye hajui mchakato unaendelea lini, kama ni sasa au ni baada ya uchaguzi mwakani. Wengi walidhani Rais yupo sahihi kuwa hajui lini mchakato unaendelea. Ukweli ni kwamba Rais alitoa kauli ile ili kuondoa sintofahamu iliyopo kwny jamii kuhusu lini mchakato huu unaendelea.
Sintofahamu hii inatokana na kupingana kwa kauli za watu wawili ambao wote wanadai wametumwa na Rais Kikwete.
Wa kwanza ni Waziri, AshaRose Migiro aluyesema "Mchakato unaendelea kama kawaida, waTZ wajiandae kupiga kura ya maoni."
Wa pili ni Mzee John Cheyo aliyesema bungeni kuwa "Mchakato utasitishwa hadi baada ya uchaguzi mkuu mwakani".
Baada ya kauli ya Migiro na ya Cheyo kupingana, Rais Kikwete ameshindwa kuwa na msimamo. Ameogopa kuegemea upande wa Cheyo (aliyefanya nae mazungumzo Ikulu) au wa Migiro (aliyemteua). So ameamua kuwa "neutral" kwa kusena hajui mxhakato utaendelea lini, ili asimkwaze Migiro wala Cheyo.
MY TAKE.!
Miongoni mwa hasara kubwa tulizonazo watanzania ni pamoja na kuwa Rais asiye na msimamo. Sifa kubwa ya kiongozi bora ni kuwa na MSIMAMO na kuutetea msimamo huo hata kama utapingwa na wengi. Kama ni msimamo wenye maslahi kwa umma usimamie na usiyumbeyumbe. Hii itakujengea heshima kubwa hata utakapoondoka madarakani.

Mao Tse Tsung ni miongoni mwa viongozi waliokua na misimamo mikali sana. Na bahati mbaya misimamo yake mingi ilipingwa na wananchi wengi wa China.. lakini hakubadili misimamo yake licha ya kupingwa na wengi.. maana alijua ni misimamo yenye tija kwa taifa.. na leo China inanufaika sana na misimamo ileile ya Mao Tse Tung waliyoipinga zamani.
Hapa kwetu Rais Kikwete hana misimamo kwa sababu anapenda kuonekana mzuri kotekote. Hapendi kukwaza upande "A" wala upande "B". Anataka kote aonekane mwema.
Rais Kikwete wakati anahutubia jana alijua kabisa kuwa Waziri wake wa Sheria, Migiro alishasema mchakato unaendelea. Na alijua pia kuwa vyama vya siasa kupitia kwa mzee Cheyo vilishasema hadi mwakani baada ya uchaguzi.
Sasa Kikwete jana akaona akisema mchakato unaendelea ataonekana mbaya kwa kina Cheyo, na akisema unasitishwa hadi mwakani atatofautiana na waziri wake Migiro. Kwa hiyo eti akaamua kukaa katikati kwa kusema "mazungumzo yanaendelea". Ajabu sana hii. mazungumzo yapi? Na nani? Na yataendelea hadi lini?
Lakini tabia hii ya Rais Kikwete ya kupenda kuwa Padri na Imamu kwa wakati mmoja si ya jana wala juzi, nadhani ni ya kuzaliwa (inborn character). Maana mambo mengi sn amekuwa katikati hata yale ambayo alitakiwa kuonesha msimamo wake kama kiongozi mkuu wa nchi.
Wakati wa sakata Dowans Rais Kikwete aliwahi kusema "suala hili tulishaanza kuona lina walakini tangu mwanzo". Lakini Dowans hiyohiyo ilipojibadili jina kuwa Symbion, ni Kikwete huyohuyo aliyemualika Rais Obama na kwenda kuzindua mitambo. Akazindua mitambo ya watu walewale aliosema ameona wana "walakini" tangu mwanzo.
Tunashindwa tumueleweje Rais wetu. Si moto, si baridi. Si mweupe si mweusi. Hakubali wala hakatai. Rais asiye na msimamo.
Mwanafalsafa Plato aliwahi kusema "nothing can be and not be, at the same time in the same context"... Yani kitu hakiwezi kuwepo halafu tena kisiwepo kwa wakati huohuo na kwa namna hiyohiyo.
Yani huwezi kuwa mnene halafu tena ukawa mwembamba kwa wakati huohuo. Huwezi kuwa mweupe halafu tena ukawa mweusi kwa wakati huohuo...Mtu pekee duniani aliyeweza kuwa mnene na mwembamba kwa wakati mmoja... akawa mweusi na mweupe kwa wakati huohuo ni Rais wetu mtukufu Jakaya Kikwete. Our President is Extra Ordinary.!!
JIPU LIMEPASUKA, SIWEZI KUWA ADUI KWA KUSEMA UKWELI.!
Malisa GJ || Your Partner In Critical Thinking.!


Kikwete ni kigeugeu...

mtu atakaemuamini kikwete ktk maneno yake, atakuwa ni mtu wa ajabu sana....
 
KIKWETE baba lao, kishawanyamazisha tayari, mliobaki ni mavuvuzela tu. Wengine tumeshamuelewa tunasubiri kumwaga kura za ndiyo kuikubali Katiba iliyopendekezwa


Mkuu, unatakiwa kujua hili:

"...kiongozi wa umma hatakiwi kuficha msimamo wake kwa wananchi anaowaongoza (kuwawakilisha) au anayeshindwa kutoa uongozi (leadership) kuhusu musuala yote (madogo au makubwa) yenye maslahi na/au kwa mustakabali wa taifa lake..."

Pia, unatakiwa kujua hili:

"...kiongozi wa umma anayeficha msimamo wake kwa wananchi anawaongoza (kuwawakilisha) au anayeshindwa kutoa uongozi (leadership) kuhusu masuala yote (madogo au makubwa) yenye maslahi na/au kwa mustakabali wa taifa lake ni HASARA KWA TAIFA LAKE..."


NOW, tatizo ninaloona katika mijadala yetu mingi (JF, Facebook, Twitter, etc,) ni kuwa wachangiaji wengi (e.g. thatha) huwa wanakuwa na upande (sides) ambapo wanashindwa kuandika ukweli wa mada husika na badala yake hukumbilia kutoa kashfa, kejeli, matusi, etc.

Mwisho,

Hakuna ubishi kuwa Rais wetu (His Exc. Mr. Jakaya Mrisho Kikwete) ameshindwa kuonyesha uongozi katika masuala mengi yanayohusu nchi. Mathalani, katika suala la Katiba amekuwa na rangi nyingi sana......,sometimes he leaves some of us feeling very much embarrassed for his mimic and unsought comments on the way Katiba Mpya should be perfectly handled to finality.

And, kumsifu mtu ambaye anakosa kuonyesha uongozi ni kupoteza muda, though najua kuwa kwa tabia na mazingira ya Tanzania na Watanzania...sio tatizo kumsifu au kumwabudu mwizi, fisadi, aliyeshindwa kuongoza, aliyeshindwa kusimamia rasilimali za wananchi, etc.

Ubarikiwe as you try to make changes into your brain ili wakati mwingine uweze kutoa michango katika mijadala kwa kusema ukweli na sio kuandika upotofu.


 
Ukiwa mdhaifu ni Janga, hawezi kumkera mtu anaonekana kama angekuwa mwanamke angeitwa mama huruma, Anataka amfurahishe kila mtu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom