Mkuukiukweli kila mwanamke utakaemuoa alikuwa na mtu wake, mimi wakati nakutana na mama mtoto 2010 aliniambia kila kitu nikakubaliana nae ila hakuniambia kama kuna jamaa wa kijijini kwao ambae alikuwa nae na bado wako nae, miaka ikasonga hadi mwaka jana ndo mambo yalianza kubadilika nikajifanya...
Yote yanawezekana inawezekana mama mchungaji alitoa kidogodogo kwa maofisa wa NEMC sasa wamemgeuka ila sheria ni msumeno,inakula mebele na nyuma ngoja tusubiri tuone
tatizo shule kiongozi wao walijua wamepata ila ngoja baada ya muda fulani wataanza kulalama nyimbo hazipigwi,afu ni uonevu kodi ulipe serikalini,ulipe kodi ya pango, ulipe watangazaji,mafundi mitambo,n.k afu na nyimbo nazo ukipiga ulipie!? huu ni uonevu na wakikomaa vituo vingi vitashindwa...
mkuu uiadhibu radio kwa kosa gani!? yaani ukilazimishe kituo kipige nyimbo anazozitaka waziri!? kama kila siku wapige nyimbo za tz na sie wapenzi wa mayenu itakuwaje!? raha ya mziki uchanganye na haka ka-amri ka kumlipa msanii kila unapopiga wimbo wake redioni wala haitachukua muda tutaona...
Asa itazimwaje mkuu!? Inaonekana huajelewa vyema.Iko hivi kama simu yako juu jima lake ni Samsung ila ukiingiza zile imei number kwenye ile application ya tcra ikakwambia ni lg ama HTC hapo lazima izimwe so hii itawakumba sana wenye simu ambazo ni cloned