Kumfuma mke akichat na mwanaume mwingine

Kumfuma mke akichat na mwanaume mwingine

Huo sitoagi ushauri kwa mambo ya mapenzi hata kama naamini ushauri wangu ni mzuri maana tatizo la"majitu"yanayopendana huwa hayafuati ushauri..utalishauri vzr halafu likikutana na lipenzi lake linabadilika.kwa hiyo wakuu tusipoteze muda kuyashauri haya "majitu" ya hivi
No dont say that buddy...just be kind coz no one knowz 2morrow......'ll b u'rz bro
 
ngumu sana..... msg umezikuta kwenye simu yake....aliekwambia uiguse simu yake nani? ulichokitafuta ushakipata, msg zenyewe zilikuwa za mahaba au salam tuu? wewe ndie mwenye mustakabali wa yote....suluhisho lipo mikononi mwako.
 
Chunguza kwa undani zaid sababu ilomfanya arudishe mahusiano ya zamani. Hakuna matokeo yasiyokuwa na chanzo
Unajua ni hawa wanawake waliosoma kidogo....ana bachelor so anaamini kila kitu anweza na haamini katika ndo ingawa nimeishi nae miaka miwili namjua vizuri na mambo mengi hajui hata life skills tu hana....anaamini zaidi katika ajira yake
 
No kwa sasa ckumuuliza ila nimeshot hizo chats kama ushahid but before nilishawahi muuliza akaniambia ni mtu ambaye alikuwaga anamtaka ila yeye hakukubali ndo huwa anamsumbua....baada ya kuandika kisa hiki nikaona text zingine kutoka kwa mama yake zimionesha akisema hapendwi mtu inapendwa pochi....na mama yake ni single mother nae ni mtu wa totoz kwa sana na ndo mshauri wake wa mambo yao
mkuu cjajua mna gan kwe ndoa yenu na cjajua umeshawekeza kiac gan kwe ndoa yako but cdhan km huyo ni mwanamke sahihi kwako hasa kwa hiyo mitazamo yake ya hapendwi mtu inapendwa pesa,sidhan km ni mtu sahihi wa kujenga naye maisha pamoja na kuwa ndoa za cku hizi zna changamoto sana lakin sasa mtu mgomvi,uaminifu wa mashaka,hapendwi mtu inapendwa pesa....pengine ww ndoa unaejua mmetoka mbali kiac gan au unampenda kiac gan ila ingekuwa mm ningempa go ahead ingawa na natambua si jambo rahisi maana ndoa ni ngumu sana
 
Unajua ni hawa wanawake waliosoma kidogo....ana bachelor so anaamini kila kitu anweza na haamini katika ndo ingawa nimeishi nae miaka miwili namjua vizuri na mambo mengi hajui hata life skills tu hana....anaamini zaidi katika ajira yake
hawa wanawake waliosoma huwa wanakuwa wanajiamin sana na huwa wana kama kuwashusha flan wanaume ambao wamewazidi elimu ama kipato ndo mana wengi wao cku hizi ndoa zao znavunjika wanakuwa single mothers usipoangalia unaweza kuwa huna sauti kabisa kwa mkeo na ukaish maisha yasio na aman kwe ndoa yako yote
 
ngumu sana..... msg umezikuta kwenye simu yake....aliekwambia uiguse simu yake nani? ulichokitafuta ushakipata, msg zenyewe zilikuwa za mahaba au salam tuu? wewe ndie mwenye mustakabali wa yote....suluhisho lipo mikononi mwako.
Hadi naandika uzi mzee....ni za za mahaba
 
mkuu cjajua mna gan kwe ndoa yenu na cjajua umeshawekeza kiac gan kwe ndoa yako but cdhan km huyo ni mwanamke sahihi kwako hasa kwa hiyo mitazamo yake ya hapendwi mtu inapendwa pesa,sidhan km ni mtu sahihi wa kujenga naye maisha pamoja na kuwa ndoa za cku hizi zna changamoto sana lakin sasa mtu mgomvi,uaminifu wa mashaka,hapendwi mtu inapendwa pesa....pengine ww ndoa unaejua mmetoka mbali kiac gan au unampenda kiac gan ila ingekuwa mm ningempa go ahead ingawa na natambua si jambo rahisi maana ndoa ni ngumu sana
Tuna miaka miwili tangu kuoana na alikuta kila kitu kwangu ingawa alichangia kununua pkpk but mi nilianza ujenzi kwa pesa yangu ya mkopo
 
Tuna miaka miwili tangu kuoana na alikuta kila kitu kwangu ingawa alichangia kununua pkpk but mi nilianza ujenzi kwa pesa yangu ya mkopo
si dalili nzuri kama matatizo haya katika ndoa yanaanza miaka miwili tu katika ndoa,mi naamin huyo alidhan una maisha mazuri sana ndo mana akajilengesha kwako mkuu,hebu jaribu kubana matumizi kama muheshmiwa Magu nafikiri akiona jahazi linavyoyumba anaweza hata akasepa mwenyew au atakuonesha waziwaz kabisa kuwa you are nothing to her..af kwahio miaka miwili tu sio mbaya kurekebisha hio mistake yako ya kukosea kuoa anza na upya bro bado una miaka mingi sana ya maisha y ndoa sasa kam miaka miwili tu hivi sasa sidhan km utafika 60s kwa stress utazopata
 
Habari jamani humu ndani,

Hivi mtu unakuwa na ugomvi kila siku na mkeo huku sababu za ugomvi hata hazieleweki,visilani tu kila kukicha hakuna jema utalomfanyia akaridhika yeye kila jambo umfanyialo kwake baya mwisho wa simu unazifuma text anazochati na mwanaume mwingine wa nje ambaye alikuwa mtu wake wa zamani ambaye kwa mujibu wa text hizo zinaonesha mahusiano wameyarudisha tena sasa wadau hivi huyu mtu/mke kuna ya kuendelea tena na ndoa hapo?

Ushauri tafadhali.
Mkuukiukweli kila mwanamke utakaemuoa alikuwa na mtu wake, mimi wakati nakutana na mama mtoto 2010 aliniambia kila kitu nikakubaliana nae ila hakuniambia kama kuna jamaa wa kijijini kwao ambae alikuwa nae na bado wako nae, miaka ikasonga hadi mwaka jana ndo mambo yalianza kubadilika nikajifanya mjinga huku nikitafiti mdogo mdogo kiukweli MUNGU hamfichi mnafiki siku nikafuma kila kitu from whatsapp to facebook. Nikambana ki-askari akakubali na kuomba msamaha ila kiukweli mapenzi yalipungua kwa kiasi kikubwa, na miezi 8 mbele nikaona amani hairudi ndani kila siku ni ugomvi mie nikajiengua, nimemua tu aishi mwenyewe na kama ataamua kuolewa tena na huyo jamaa wa huko kwao its fine tulikuwa na mtoto mmoja na nimemuachia akae nae tu maana ukingángánia haya mambo unaweza kufa kwa pressure, its much better kila mtu akakaa pembeni ili tuone baada ya muda nani atakuwa muathirika. Still niko kwenye 30th ila ngoja nisogee kwenye 40 nitaoa tena kwa sasa hapana tena nawachukia sana hawa viumbe.Na inaumiza sana
 
Back
Top Bottom