Recent content by djchris

  1. D

    Tunamuomba Mungu atukinge na Corona, kesho watalii wanatua KIA, AKIA, JNIA huku nchi ikiwa wazi mipakani

    Nyie ndio mitaji ya manabii na mapastor fake, yaan hamtakagi kutumia hata chembe ya akili zenu kureason mnamtegemea tu nabii/pastor Unaacha kujilinda unasema kama uliandikiwa kufa kwa corona utakufa😀😀 Ulishawahi kujiuliza kwa nini unafunga mlango nyumbani? kwa nini unatumia neti?, kwa nini...
  2. D

    Advance diploma vs Bachelor degree

    Entry reuirements za adv Dip na Degree zilikua sawa?
  3. D

    Advance diploma vs Bachelor degree

    Hadi miaka hii bado kuna advanced diploma?..nilisikiaga imeondolewan Na kwa uelewa wangu Degree ipo juu ya Adv dip.
  4. D

    Ungekua wewe ungemfanyaje mwanamke huyu?

    Mkuu hii ni SCRIPT unataka ufanye movie?
  5. D

    Kuna wakati huwa tunawamiss ma X wetu, tunajikazaga tu sababu hakuna jinsi

    For sure ktk mahusiano niyopitia nimegundua ma x wote hawafanani kwa umbo, tabia, matendo na muonekano. So kumiss x inatokea sio lazima ummiss kwa mazuri tu.
  6. D

    Wadau nifanyeje wanipe mafao yangu?

    Laana na iwafikie PPF. Nilichofanyiwa na huu mfuko mwenye roho nyepesi angeweza jinyonga.
  7. D

    Nahitaji kujua kuhusu fao la kujitoa GEPF

    Huu ushenzi nilifanyiwa na PPF. Nimewaachia Mil 3 kama vip wagawane tu..coz had nifike miaka 55 itakua bei ya 1kg ya sukari.
  8. D

    Ndalichako, Msonde, Wizara ya elimu na Necta tegueni kitendawili cha elimu ya Makonda

    tehe tehe tehe!.Mkuu umeua..anasura ya babake
  9. D

    Nini kinafanya wanaume kuguna mpaka kulia wakati wa kugegeda?

    Jibu la swali lako ni kwamba. Umefanikiwa kuwaingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi wanaume wawili.... trust me hao ni beginners.
  10. D

    Wakubwa Nisaidien Hapa Naona simuelewi huyu Mtu...

    Si mnasemaga kitanda hakizai haramu fanya tu kuilea hiyo mimba....ila kaa ukijua sio yako..
  11. D

    Mdogo wa Ex wangu simuelewi!!

    Ameshasoma uzi wako nadhani had sasa umeshamkosa...
  12. D

    Wamiliki wa magazeti sio Tatizo. Habari zako ndizo haziuziki.

    Ndio hivo mkuu wewe mwenyewe umekili kua habar zake hazivutii...
  13. D

    Hakuna cha Maana alichofanya Makonda kutofautiana na maRC wengine.

    Bado nasubiri mtu aje na vitu alivyofanya makonda naona kimya. Mnapeana tu mipasho means hana jipya.... ngoja nilale kesho niwahi shamba..
  14. D

    Wamiliki wa magazeti sio Tatizo. Habari zako ndizo haziuziki.

    Hata akiandikwa mm siwezi soma habar zake naziskip. Bora nisome za Hamorapa.
  15. D

    Ni waume/wanawake wangapi umewahi kutembea nao?

    Syntanx error! Cant solve.
Back
Top Bottom