Ungekua wewe ungemfanyaje mwanamke huyu?

Tembo2

JF-Expert Member
Jan 1, 2014
456
747
Mkeo Anarudi Nyumbani kavimba vibaya usoni! Unamuuliza anakujibu kuwa kakutana na vibaka wamemvamia na kumpiga, lakini ukimcheki kwa makini unakuta kila kitu chake amerudi nacho na kiko salama. Unaanza kupeleleza, unagundua kapigwa na “Mchepuko” wake. Unaoneshwa mchepuko huo, nawe unakwenda moja kwa moja (straight) kwa huyo jamaa, unapomuuliza anakujibu kama ifuatavyo: ".....Bro mimi yule ni Mpenzi wangu wa muda mrefu hata kabla hujamuoa, tuna miaka mingi ni wapenzi wa siku nyingi sana. Mimi nakujua wewe kuwa huyo ni mkeo, ulimuoa wakati mimi sina uwezo kifedha, lakini hatukuwahi kugombana, tumeendelea na mapenzi Muda mrefu, na hata watoto unaodhani ni wako, Mimi mwenyewe tulipanga majira, sasa yawezekana nami yupo wangu, kwani huwa natoa matumizi ya mtoto mmoja yule Jenerose. So kuwa na amani, nakufahamu vema. "....Lakini kilicchoniuma mimi ni kwamba huyu Mwanamke mshenzi, nimegundua ananichet mimi, anatembea na njemba fulani, so iliniuma sana, nilitamani sana ufahamu hili, lakini ningeanzaje kukwambia wakati wewe hujui kama mimi mkeo ni mpenzi wangu. Mimi sina tatizo na wewe, na hata akiniambia jana mmefanya sijali, lakini kwanini atembee na mwanamume mwingine tofauti na sisi (wewe na mimi). Kwahiyo kweli nimemfumua hayo makonde, tena kajikanda hapa. "....Amebadilika sana huyu mwanamke, amekuwa na tabia chafu sana siku hizi, haiwezekani nichangie na mwanamme mwingine kwa mtu ninayempenda. Wee mwenyewe hujui tu ninavyoumia………” Swali
Kama ndo wewe, utafanyaje, utaanza na huyo jamaa au utarudi mdogo mdogo kwa mkeo? Je utamfanya nini Mkeo?
 
Mkeo Anarudi Nyumbani kavimba vibaya usoni! Unamuuliza anakujibu kuwa kakutana na vibaka wamemvamia na kumpiga, lakini ukimcheki kwa makini unakuta kila kitu chake amerudi nacho na kiko salama. Unaanza kupeleleza, unagundua kapigwa na “Mchepuko” wake. Unaoneshwa mchepuko huo, nawe unakwenda moja kwa moja (straight) kwa huyo jamaa, unapomuuliza anakujibu kama ifuatavyo: ".....Bro mimi yule ni Mpenzi wangu wa muda mrefu hata kabla hujamuoa, tuna miaka mingi ni wapenzi wa siku nyingi sana. Mimi nakujua wewe kuwa huyo ni mkeo, ulimuoa wakati mimi sina uwezo kifedha, lakini hatukuwahi kugombana, tumeendelea na mapenzi Muda mrefu, na hata watoto unaodhani ni wako, Mimi mwenyewe tulipanga majira, sasa yawezekana nami yupo wangu, kwani huwa natoa matumizi ya mtoto mmoja yule Jenerose. So kuwa na amani, nakufahamu vema. "....Lakini kilicchoniuma mimi ni kwamba huyu Mwanamke mshenzi, nimegundua ananichet mimi, anatembea na njemba fulani, so iliniuma sana, nilitamani sana ufahamu hili, lakini ningeanzaje kukwambia wakati wewe hujui kama mimi mkeo ni mpenzi wangu. Mimi sina tatizo na wewe, na hata akiniambia jana mmefanya sijali, lakini kwanini atembee na mwanamume mwingine tofauti na sisi (wewe na mimi). Kwahiyo kweli nimemfumua hayo makonde, tena kajikanda hapa. "....Amebadilika sana huyu mwanamke, amekuwa na tabia chafu sana siku hizi, haiwezekani nichangie na mwanamme mwingine kwa mtu ninayempenda. Wee mwenyewe hujui tu ninavyoumia………” Swali
Kama ndo wewe, utafanyaje, utaanza na huyo jamaa au utarudi mdogo mdogo kwa mkeo? Je utamfanya nini Mkeo?
 
Mkeo Anarudi Nyumbani kavimba vibaya usoni! Unamuuliza anakujibu kuwa kakutana na vibaka wamemvamia na kumpiga, lakini ukimcheki kwa makini unakuta kila kitu chake amerudi nacho na kiko salama. Unaanza kupeleleza, unagundua kapigwa na “Mchepuko” wake. Unaoneshwa mchepuko huo, nawe unakwenda moja kwa moja (straight) kwa huyo jamaa, unapomuuliza anakujibu kama ifuatavyo: ".....Bro mimi yule ni Mpenzi wangu wa muda mrefu hata kabla hujamuoa, tuna miaka mingi ni wapenzi wa siku nyingi sana. Mimi nakujua wewe kuwa huyo ni mkeo, ulimuoa wakati mimi sina uwezo kifedha, lakini hatukuwahi kugombana, tumeendelea na mapenzi Muda mrefu, na hata watoto unaodhani ni wako, Mimi mwenyewe tulipanga majira, sasa yawezekana nami yupo wangu, kwani huwa natoa matumizi ya mtoto mmoja yule Jenerose. So kuwa na amani, nakufahamu vema. "....Lakini kilicchoniuma mimi ni kwamba huyu Mwanamke mshenzi, nimegundua ananichet mimi, anatembea na njemba fulani, so iliniuma sana, nilitamani sana ufahamu hili, lakini ningeanzaje kukwambia wakati wewe hujui kama mimi mkeo ni mpenzi wangu. Mimi sina tatizo na wewe, na hata akiniambia jana mmefanya sijali, lakini kwanini atembee na mwanamume mwingine tofauti na sisi (wewe na mimi). Kwahiyo kweli nimemfumua hayo makonde, tena kajikanda hapa. "....Amebadilika sana huyu mwanamke, amekuwa na tabia chafu sana siku hizi, haiwezekani nichangie na mwanamme mwingine kwa mtu ninayempenda. Wee mwenyewe hujui tu ninavyoumia………” Swali
Kama ndo wewe, utafanyaje, utaanza na huyo jamaa au utarudi mdogo mdogo kwa mkeo? Je utamfanya nini Mkeo?
Mkuu hii ni SCRIPT unataka ufanye movie?
 
.......nampa tano kisha namwambia “kaka fresh kweli umefanya vizuri kumgonga vitasa ngoja na mie niende home nikamzibue aniambie ktk wale watoto yupi ni wa kwako yupi wa kwangu,au unasemaje jamaa!!poa kama vipi nipe namba yako akishaniambia yupi ni yupi nakugusia wire unakuja kumchukua maana nimeshamchoka"....ila mkuu nna imani ulichoandika hujamaanisha.
 
Ingekuwa ni kaka yangu ningemshauri amuache huyo mkewe, kwasababu moja hakuolewa kwa mapenzi bali pesa na amekuwa na mwanaume huyo hata kabla hajamuoa. Na kipindi hicho hicho ni kufanya DNA.

Yaani kea kifupi umeoa mwanamke anayetumia pesa zako kuntunza huyo mumewe, wewe sio mume ni benki kwake.

Ila nawe ikawaje hakubadilika na kukufia, mmmmh jichunguze kiaina fulani. Lingine nawe unachepuka?
 
Kama unampenda samehe maisha yaendelee, kama humpendi au huwezi kusamehe endelea na maisha yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom