Hiyo ya Hospital Magufuli Mbona Kama aliiomba mwenyewe alipokuwa Waziri Kwa wakorea, Lakin nadhani haikuwa ya Moyo ilikuwa ya Hadhi ya Juu mwishowe ikajengwa chini ya Kiwango, maana tender alimpa Mdogo wake Mayeye Magufuli wakala wote pesa
Naombeni kushauriwa hapa kidogo, nilipata Binti tukaingia makubaliano ya kuoana, tukapanga mshenga wa kwenda kwao ila akapata dharura kidogo tukaahirisha. Tukaomba kwenda Jumatano ya week kesho kupeleka barua Kagera maana mama Mkwe wangu anatokea Bukoba.
Amesema kwa kumwambia binti yake kwamba...
WENZANGU NAMIMI NI KWELI TUNAKUTANA JAMIIFORUMS BILA KUJUA VITENGO VYA WATU NA WADHIFA WALIO NAO, NA WENGINE WANAINGIA KAMA UWAGENI WASIO NA USAJILI
Nimeamua kuwadokeza suala hili kwa kina kuna mchezo mchafu wa kukwepa kodi kwenye magari yanayoingizwa nchini kwa kucheza na mipaka ya nchi kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.