Pchaa ya harusi iliotumwa mitandaoni ni tofauti kabisaa na yule dada waliomuhoji Efm.bt inaonesha ni kweli manaa dada wa harusi hafanani kabisa na yule 0656
Rudishaaa majeshii kiana pimaa ngoma na yeye kama hana muoneshe real love kama alikuachaga yeye bila sababu ya msingi mkolezee mapenzi vzur ukionaa amekoleaa mpge chni aonje maumivu kidogo atajifunza kituu
Daaa na mm nina kamojaaa nakaacha chuo sitadhubutuu kuinvest pesaa zanguu kwa ajili nampendaa ndio ilaa kujitiaa kitanzii acha anione bahili ila huo upuuzi sitofanyaa of coz nilishaliaa kwenye mapenzi na nilishaapaa apa kutokuliaaa tenaa...pole mkuu najuaa inaumaa jikazee kiume atakujaa...
Daaah mm niliwahi kumkopeshaa mmoja akiwa akinionaa ananilegezeaa jicho kiana na maneno matam nikajuaa tuu anataka kunilipa indirect day moja akadrop geto msiniulize kilichofuaataa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.