proff g
Senior Member
- Jul 16, 2016
- 153
- 117
Kuna mtazamo flani au mawazo flani yalijengeka kwa watanzania kwamba kuwa na elimu YA degree sio issue tena lakn hii imetokana nakutokuwa na uongoz mzur wa kufanya elimu yeti iwe na thaman lakn Sasa Naona heshima itarudi kwenye elimu yetu[emoji56] [emoji56] [emoji56]