Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 5,791
- 7,127
Teh! unacheka mkuu mwenzetu anahitaji msaada wa haraka sana
Ha ha ha nimegundua kweli ni mjuaji na masharti kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh! unacheka mkuu mwenzetu anahitaji msaada wa haraka sana
Ha ha ha nimegundua kweli ni mjuaji na masharti kibao
kaah! Rubii wembabe!! hahaha!!We dogo unaomba ushauri halafu unaleta ujuaji
hujabainisha unamzdi nn? umbo,sura,kfua au nyuma!?!??Xx jamani ujuaji hapo ni upi nimeleta, alafu usikute mimi nakuzid alafu unaniita dogo
hujabainisha unamzdi nn? umbo,sura,kfua au nyuma!?!??
ahahah! awapi kamasikosei hapo behind ana flat screen.Labda kafungasha sana zigo huyu
khaaaa!!!Jamani naomba mnisaidie yaani napenda sex sana yani hadi najionea huruma nifanyaje ili niweze kupunguza, si kwamba kila siku nafanya inaweza kuisha mwezi sijafanya ivo ila pale ninapokutana na muhusika yani hamu huwa haniishi.
Asante ndugu mungu akubariki asanteNi vyakula tunavyo kula,pia jiweke busy muda mwingine hata km yupo karibu.
Jaribu kuzuia mihemko yako,
Punguza faragha nae yan muwe munakutana mahali pa waz.
MCHE MUNGU UEPUKANE NA UOVU
Naona unataka kutujazia pages kwa kitu kisicho na maana,unataka msaada kutoka kwa wadau humu,halafu hutaki kusema jinsia yako,sasa tutajuaje hisia zako kama unaficha?mwanamke akipenda sana kukazwa tunajua tatizo ni nini?na mwanaume akipenda sana vitumbua pori tunajua tatizo liko wapi,sasa wewe unaleta mambo ya shule za bweni hapa?sidhani km kutoa ushauri ni lazima ujue km ni mwanaume au mwanamke we toa tu ushauri, nahisi ndo maana humu watu hawapendi kutumia real name, toa ushauri tu
Huyo ni mtoto wa kiume wa shule ya bweni,hapo alipo kaisha toboa godoro.Mmmmh! mie nimemshindwa
Watu wa hivyo ndio huwachafua kina dada kwenye daladala,tena weka mbali na watoto pamoja na mifugo.Teh! unacheka mkuu mwenzetu anahitaji msaada wa haraka sana