Kuwa mvumilivu na uwe mwepesi wa kusamehe sio kosa dogo tu unakasirika wiki nzima na uwe tayari kusacrifice all your time kwa familia yako. Nakutakia kila la kheri
Kama huyo alokuacha bado unampenda mi ntakwambia hivi: if you love something let it go,of it comes back it's yours and if it doesn't it never was just move on God has something better for you!
ukitaka usikosee mambo basi we jigijigi siku zote la kasoro siku 5 tu yaani siku ya 12 mpaka ya 16 tangu mzunguko wa hedhi ilipoanza( hizo ni siku kwa ajili ya mimba), hapohata kama mzunguko ukibadilika kidogo haitaathiri kitu..
wengi hukosea kwa kuanza kuhesabu siku hedhi ilipokata na ndio...
Mi wangu alikuwa kishapangwa na wazazi lakini nilitaka kumjua kwanza kabla ya ndoa nilipoongea nae tu kwenye simu i knew he was the one mpaka sasa tuna miaka miwili ndani ya ndoa na tuna mtoto mmoja am happy to be with him.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.