Majuto ni mjukuu

Majuto ni mjukuu

Kwa kupitia maneno machache ya kiswahili kwenye thread na michango ya watu humu nimeelewa kwamba story ni ni nzuri na inafundisha.

Ila kwenye kiingereza duh, labda nipate mkalimani. Natamani nikuombe unitafsirie eeh.

Nimechukua kama nilivyoletewa na kuweka hapa.. demu anaandika kwa hisia so anachanganya lugha
 
Kuna wakati kuwa kichwa ngumu ni hasara sana...
 
Ni rahisi sana kumshauri mtu waachane na mwenzi wake. Lakini unaweza ukapitia the Same situation kama aliyopitia huyo mwenzako na ukashindwa kumwacha mpenzi wako. Kutoa ushauri ni rahisi sana, ila yakikukuta utashangaa unashindwa hata kujishauri mwenyewe. Ikifika muda wa kufanya maamuzi magumu,
Mshirikishe Mungu na akili yako tu. Wale watu wa muhimu utawapa taarifa tu kuwa imekuwa hivi

Sio kitu kizuri pia kusimulia matatizo yenu kwa watu wengine. Kuna Vitu tunatendewa na wenzi wetu ambavyo tukivisema kwa watu vinatudhalilisha sisi pamoja na wenzi wetu. Au vitafanya wenzi wetu wasiheshimike. As long as Mpo pamoja, basi siri zenu fichianeni
 
Nimpe pole huyo dada.

Na nampongeza kwa kutambua kosa.
 
You don't see the importance of something until you loose it ndo mana huyo dada anajutia sasa hivi kishauona umuhimu wake
 
Sijaelewa anachokitaka exactly, anataka kurudi? Anaomba tu msamaha? anamkumbuka jamaa kwa ajili ya watoto? Amesalitiwa na rafiki zake? Au kakumbuka mali za jamaa like prado, IST n.k? huyu bado ana tamaa na hajitambui.

Aje nimsaidie kwanza
 
Nimejikuta Roho Inaniuma kama mimi ndio Baba Patrick.

hastahili msamaha wala kurudishwa ndani ya nyumba.

Hao waliomsapoti ndio awafuate na kuwaandikia huu ujumbe kwa kuwa unapokuwa mjinga na mpumbavu na mtu akajitolea kukupa mawazo yaliobora lakini wewe ukayaona ni mgando basi ni bora uachwe Ili dunia Ikufundishe.

HASTAHILI KUSAMEHE

NB: ATOTO USIWE KAMA HUYO MWANAMKE KISHA BAADAE UJE UNILILIE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom