Km nataka kupeleka barua ya kuacha kazi kwa mwajiri wangu na tarehe ya mshahara ni tarehe 24.Je kati ya tarehe 23 na 24 ni tarehe ipi itakuwa vyema kupeleka barua,kwa malengo nimlipe mwajiri mshahara wa mwezi husika.Msaada tafadhali.
Wanajamii forum,naombeni kuuliza.Km mtu unataka kuandika barua ya kuacha kazi na mshahara huwa nalipwa tarehe 24.Je,barua naweza kuipeleka kwa mwajiri wangu tarehe 23? Au ni 24? Kwa malengo nisilipwe mshahara wa mwezi husika na nimlipe mwajiri.Msaada wa ushauri wapendwa.
Maisha ya sikuhizi yako tofauti na zamani,tabia za binadamu toka kabila moja hadi lingine haziko tofauti sana.Inategemea na mtu mwenyewe.Ila nawapa big up wanyakyusa
]
Habari wana JF.
Kuna nafasi za loan officer zilitangazwa humu karibuni. Na application inafanyika online via recruitment@acbtz.com but kila nikituma application inakataa kwenda.
Naomba msaada wenu.
Mimi nimefanya nao kazi km mwaka1nbc customer service gross ni km 512000 wakishakata unabaki km laki 4 hivi hamna benefits zozote wala overtime payment.Hapo wanakuwa washakata chao ambapo ni Siri yao.Ila kwa kuanzia kazi so mbaya kuliko kukaa hm
Ni kweli huu si uungwana,hivi kwanini wasitende haki?hali km hii hatuwezi endelea.Watuonea huruma tumesota kutafuta elimu ili tupate ajira kulingana na elimu zetu ila hali bado ni tete.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.