DISMANDER GIRL
Member
- Dec 13, 2012
- 18
- 6
Hivi Saccos umeajiriwa km mhasibu unaweza kulipwa shs.ngapi? Naomba ufahamu wenu ndugu
Hivi Saccos umeajiriwa km mhasibu unaweza kulipwa shs.ngapi? Naomba ufahamu wenu ndugu
Hivi hapo umeomba ushauri au umeuliza swali? Mana kwenye heading umesema naomba ushauri lakini ndani ni swali? Haya bwana ngoja tusubiri waje kukupa ushauri/kujibu swali.
Hivi hapo umeomba ushauri au umeuliza swali? Mana kwenye heading umesema naomba ushauri lakini ndani ni swali? Haya bwana ngoja tusubiri waje kukupa ushauri/kujibu swali.