DISMANDER GIRL
Member
- Dec 13, 2012
- 18
- 6
Hivi wandugu naomba msaada kuhusu interview ya assistant tax officer,written yaoinakuwaje,msaada wanajamii.
kama huna asili ya mlimani usisumbuke kuunguza nauli!
Nafasi nyingi zimeshachukuliwa na akina mrema, kimaro, temba, mushi, shayo n.k!
Ngoja mkurugenzi wa tra aondoke abadili mnyakyusa ndipo nionbe
mfa na maji haachi kutapatapa. kama ndo unavyofikiri umekwisha kijana, utawasikilizia wenzako kwa mbali. badilika..Teh wote Chadema hao wanaiba hela zetu TRA na kupeana nafasi kinyemela halafu wanajifanya Chadema kweli nyani haone kundule (------lake)
what if akiwa ni mpare,,,,,,,, u will die without make it. Pole sana.
my advice is never let any opportunity get away without use it.
mie nafahamu watu kibao wenye qualification wanapiga mzigo bila matatizo.
2ambizane wakuu kuhusu maswal
inaonekana we ni kilaza na umefika hapo kwa kudesa na kubebwa. badilika umekua sasa