*Kwa swala la voda,namna WANAVOCHAKATA GHARAMA KWA MIAMALA kama vifurushi & huduma za kifedha; imekuwa katisho la tamaa kwa wateja wake.
*Ila tofauti ya MUDA TANGU MTEJA AMENUNUA KIFURUSHI na KUKATA KIFURUSHI umekuwa hauko wazi...wateja wanadhani wanaibiwa na mtandao huo.
*NI MUHIMU KULIPA...
Hili linaenda kuwezekana,taasisi kama “HOMESTEAD” na TESLA wanaendelea kuweka hundreds of billions ya hii project..
*Pia filamu kama “Prometheus”..”passengers” & “space between us”...zinatoa utangulizo kwenye UHALISIA wa mradi huu wa binadamu kukaa MARS.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii kwa tanzania,iwe ni LANDROVER SOUTH AFRICA..zinazotoka UK unaeza pata mpaka $60,000 hadi ulimiliki mkononi...wakati ikitoka S.A ni $35000 tu ukiacha vigarama vidogodogo.....
Sent from my iPhone using JamiiForums
Habari wakuu
•natafuta HP360 ambayo ni used(new) in a good condition..
BEI:iwe affordable
MAHALI : DSM
Aliye serious njoo inbox tuyajenge..nashukuru
Sent from my iPhone using JamiiForums
Habari wakuu
•natafuta HP360 ambayo ni used(new) in a good condition..
BEI:iwe affordable
MAHALI : DSM
Aliye serious njoo inbox tuyajenge..nashukuru
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yani mkuu,inamaana mtu aliye pale (Suffolk)LONDON muda huu,anaweza washia moto na hela ya tanzania [emoji1241] (Tsh)..kama tu matakataka au karatasi ya kufanya moto uwake (pengine akikosa mafuta ya taa)[emoji16]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.