Habari Njema: Safari ya Binadamu kwenda kuishi Sayari ya Mars imenukia!!

FUSO

JF-Expert Member
Nov 19, 2010
31,631
37,832
Yale mambo tunayoyasoma kwamba kuna sayari nyingi tu zaidi ya hii tunayoishi ni kweli... wanasayansi wa dunia wanafanya maandalizi ya mwisho ili kumpeleka binadamu wa kwanza kwenda kuishi sayari ya Mars sayari iliyopo umbali wa takribani 35million miles toka hapa duniani kwetu. Inachukua miaka 3 kufika Mars na kurudi.. kwa hiyo siyo zoezi dogo.

Karibia karne nzima wanasayansi wamehaha kujaribu kutatua vikwazo vya safari hii ya kupeleka binadamu kuishi huko vikwazo vikiwa ni hali ya hewa Joto / Baridi, Nguvu ya uvutano, Mgandamizo hasi (Magnetic field, Radiation etc hata hivyo wanasayansi hawa wamefanikiwa kwa nyakati tofauti kupeleka vyombo pelelezi vikiongozwa na Robotis na kutuma picha, hali ya hewa za huko hapa duniani nk

Safari hii ya kwanza inayokadiriwa kufanyika ifikapo 2040 binadamu wengi wanaisubiri kwa hamu kubwa, kama una umri wa miaka 30 hadi 40 unaweza kushuhudia tendo hili la historia ya ulimwengu.

Hongera NASA na wanasayansi wengine wa duniani kuhakikisha mnafanya kazi usiku na mchana ili kukanikisha safari hii ya kihistoria.

 
Andika safari kwa baadhi ya binadamu, hiyo Sayari ina uwezo wa kubeba binadamu bilioni 7? Na watafikaje huko? Au kutakuwa na diversity visa pia?
 
Acha uongo musk anajitahidi na yuko vizuri but bado hana uo uwezo
Sasa hapo unamwambia yeye aache uongo kwani yeye ndie aliyesema hivyo au?..Elon Musk mwenyewe alisema by 2022 kwa kushirikiana na kampuni yake ya Space X atatoa nafasi kwa watakaopenda kwenda Mars kutalii kwa ada ya Dollar 10 Million..yupo tayari kwa hilo watakaoenda kutalii watapata nafasi ya kuuona mlima Olympus ambao ni mrefu mara tatu ya Everest,pamoja na kuona crater ambazo enzi hizo za ancient mars zilijazwa na water bodies na mambo mengine mengi
 
Sasa hapo unamwambia yeye aache uongo kwani yeye ndie aliyesema hivyo au?..Elon Musk mwenyewe alisema by 2022 kwa kushirikiana na kampuni yake ya Space X atatoa nafasi kwa watakaopenda kwenda Mars kutalii kwa ada ya Dollar 10 Million..yupo tayari kwa hilo watakaoenda kutalii watapata nafasi ya kuuona mlima Olympus ambao ni mrefu mara tatu ya Everest,pamoja na kuona crater ambazo enzi hizo za ancient mars zilijazwa na water bodies na mambo mengine mengi

kulikuwa hakuna haja ya kuniuliza ilo swali, ambacho ungefanya ni icho ulichokielezea hapo mbele kwa kuendelea kumuamini huyo mjanja mjanja Musk anatumia utajiri wake na ushawishi wake pamoja na malobbist wenzake

hayo yote yanawezekana katika sayansi lakini bado sana hata Tesla alilijua hilo
 
kulikuwa hakuna haja ya kuniuliza ilo swali, ambacho ungefanya ni icho ulichokielezea hapo mbele kwa kuendelea kumuamini huyo mjanja mjanja Musk anatumia utajiri wake na ushawishi wake pamoja na malobbist wenzake
hayo yote yanawezekana katika sayansi lakini bado sana hata Tesla alilijua hilo
Na wewe hukuwa na haja ya kumwambia mwenzio aache uongo alichokifanya yeye amenukuu alichokisikia kutoka kwa Elon Musk..sasa hapo yeye anaitwaje muongo?
 
Na wewe hukuwa na haja ya kumwambia mwenzio aache uongo alichokifanya yeye amenukuu alichokisikia kutoka kwa Elon Musk..sasa hapo yeye anaitwaje muongo?
Ebu rudi kasome tena post niliyomquote uone kama kweli amenukuu, yeye amesema hivyo anaitwa muongo sababu kashiriki kutoa taarifa za uongo Perjuly ambazo hana uhakika nazo
 
Huyu Elon musk.mwaka Jana alituma gari huko mars.
Sasa naombeni mnijuze hiyo gali imefika na kutoa taalifa gani ?
 
Sasa hapo unamwambia yeye aache uongo kwani yeye ndie aliyesema hivyo au?..Elon Musk mwenyewe alisema by 2022 kwa kushirikiana na kampuni yake ya Space X atatoa nafasi kwa watakaopenda kwenda Mars kutalii kwa ada ya Dollar 10 Million..yupo tayari kwa hilo watakaoenda kutalii watapata nafasi ya kuuona mlima Olympus ambao ni mrefu mara tatu ya Everest,pamoja na kuona crater ambazo enzi hizo za ancient mars zilijazwa na water bodies na mambo mengine mengi
Lakini mars haina oxygen uwezekano wa kiumbe hai wa mazingira ya duniani kuishi ni 5% kwasababu hewa nzito ya ukaa ambayo ni sumu kwa kiumbe hai kinachotegemea oxygen
 
Safari ya mars its look promising natamani wangeweza kwenda alpha centauri about 4.3 light years from earth, nimeona kuna company moja ya Russian inataka kutengeneza space ship ambayo itakua na atleast 20% of speed of light this will take kama two decades to reach another solar system Alpha centauri, pia rocket scientists wengine wana project ya antimatter hizi ni particles ambazo zina opposite charge hii itasaidia sana since we can have 40% of speed of light hence space ships with antimatter powered engines itasaidia kufikia alpha centauri kwa half decade sema production ya antimatter ndio mtiti, safari ya mars haina shaka ellon musk ameshasema hivyo
 
Hili linaenda kuwezekana,taasisi kama “HOMESTEAD” na TESLA wanaendelea kuweka hundreds of billions ya hii project..
*Pia filamu kama “Prometheus”..”passengers” & “space between us”...zinatoa utangulizo kwenye UHALISIA wa mradi huu wa binadamu kukaa MARS.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom