Wandugu Water Dispenser nauza tsh 50,000 maongezi yapo kidogo.
Inatoa maji baridi na maji moto
Ina kasoro ndogo.
koki moja ya kutolea maji imekatika na kile cha ndani ambacho kinatobolea dumu la maji kimekatika vyote unaweza weka
Kwa mawasiliano 0657438581
ipo Kinyerezi
Mkuu sina uzoefu na hii biashara ila nilishawahi kulima.
Kwa ushauri ungepata sehemu vijijini unanuna mahindi na kuyaleta Dar ni nafuu mfano
Miaka 2 iliyopita Gunia moja la mahindi lilikua ukilitoa Manga kijiji cha kwanza ukiingia Tanga hadi manzese ni tsh 7000 hii usafiri. Bunju walikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.