Recent content by dingihimself

  1. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja vinauzwa Mbezi Luguruni

    Ndugu mtoa tangazo kiwanja cha millioni sita kina ukubwa gani Na cha millioni 25 kina ukubwa gani??
  2. dingihimself

    JamiiForums Tanzania MPYA Huyu aliyefua na kuanika nguo, je hapa ni daraja la Kijazi Ubungo?

    Hapo sio ubungo. Ila pale Ubungo flyover enzi hizo chini shimoni palikua ni mageto ya watu.
  3. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Msanii wenu anaelekea kubaya

    Sio anaelekea, ameshafika pabaya
  4. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Mapiduzi ya usafiri: Pikipiki za umeme(RAVOX). Je, ni suluisho la gharama za mafuta?

    Asante!!! mheshimiwa Hiki chombo bei yake ipoje?
  5. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Photocopy mashines

    Aisee huyu jamaa yupo vizuri. Sema nimesikia kuna ndugu yupo Bunju yule anaeuza vitu vya mtumba kama magari machine mbalimbali, laptops toka uk
  6. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Photocopy mashines

    Chukua 2520 ipo safi nilishawahi kuitumia miaka kadhaa nyuma!
  7. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Mkuu ubarikiwe!!!
  8. dingihimself

    JamiiForums Tanzania New Toyota IST for sale 20m/-

    Duuh ist imefika huko aisee
  9. dingihimself

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hello fam it is me beautiful girl

    Aisee Huu mtego!. Msiseme sikutoa angalizo
  10. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Guta la mizigo ina utofauti gani na biashara ya bajaj ya abiria?

    Guta toyo mkataba ni tsh 25,000 mwaka na nusu ila inategemea na boss.
  11. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Kuna brand za nguo zilitikisa sana aisee!

    Mkuu ni FUBU nimekumbuka mwimbo wa tshirt na jeans
  12. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Said Fella: Watanzania naombeni mnichangie nikatibiwe India, Yamoto Band hawapokei simu zangu

    Bizman Kitambo, nimekumbuka jinsi alivyo mrefu kwenda chini
  13. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Wakuu nisaidieni kujua dawa konki ya kikohozi kikali

    Pedinisolin
Back
Top Bottom