Recent content by dingihimself

  1. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

  2. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Nimefika mwisho wa kufikiri.... Nifanyeje? Naomba msaada wako

    Upo Dar au mkoa gani?
  3. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Nauza sofa 3M- Upanga Dsm

    Kila lakheri. Hiyo ni bei ya kiwanja Chanika
  4. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Aisee!
  5. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Dar: Risasi zinarindima Mbezi beach muda huu

    Kamanda hujalala saa Saba kasoro hii. Hao ni wazee wa ngasuma tu
  6. dingihimself

    JamiiForums Tanzania AI ilivyonifanya nipate mke mwema wa kuoa

    Ngoja kwanza bRaza hiyo laki unatumia kwa matumizi ya kula tu au. Maana nataka kujifunza hapa
  7. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Water Dispenser used

    Wandugu Water Dispenser nauza tsh 50,000 maongezi yapo kidogo. Inatoa maji baridi na maji moto Ina kasoro ndogo. koki moja ya kutolea maji imekatika na kile cha ndani ambacho kinatobolea dumu la maji kimekatika vyote unaweza weka Kwa mawasiliano 0657438581 ipo Kinyerezi
  8. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na Majiko ya Induction ya ECOA anipe uzoefu tafadhali!

    Mbona sufuria ngumu sana zile alafu uzuri wake hazishiki moto juu kwenye mshikio
  9. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kusaga unga Dar

    Naam! Sasamtoa mada angekuwa Anaenda vijijini huko anachukua mzigo wa kutosha ni nafuu
  10. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kusaga unga Dar

    Yeah! Kule wanalima sana kwa mwaka, misimu miwili. Kipindi hiki yanashuka sana
  11. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kusaga unga Dar

    Mkuu sina uzoefu na hii biashara ila nilishawahi kulima. Kwa ushauri ungepata sehemu vijijini unanuna mahindi na kuyaleta Dar ni nafuu mfano Miaka 2 iliyopita Gunia moja la mahindi lilikua ukilitoa Manga kijiji cha kwanza ukiingia Tanga hadi manzese ni tsh 7000 hii usafiri. Bunju walikua...
  12. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na Majiko ya Induction ya ECOA anipe uzoefu tafadhali!

    Duuh wapi huko! Mimi nimenunua mwezi wa 4 la plate moja na sufuria mbili tsh 158,000
  13. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Maisha baada ya kufa

    Akikujibu nitag🏃‍♂️
  14. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Nani kaua kwenye hii ngoma 'Danger' yenye ma-legend wa BongoFlava?

    Gnako nae ni legend
Back
Top Bottom