Duh, kwenye CSEE ya 2012 somo la Jiografia ulipata ngapi? Yaani Kigoma Kaskazini, Maswa Mashariki, Maswa Magharibi, Ubungo, Kawe, Mbeya Mjini, Iringa Mjini, Ilemela, Nyamagana, Singida, etc. vyote hivi viko Kaskazini? Au ni Kaskazini mwa Kusini, Magharibi na Mashariki mwa Tanzania? Pamoja na...