Ndugu zangu Habari za Leo?
Mimi ni mmoja kati ya walioomba nafasi ya security officer TANESCO HQ na deadline ya tangazo ilikuwa may 25
Lakini mpaka Leo July 25 hakuna updates zozote nilizopata
Kwa anayefahamu naomba anijuze updates please.
Nawasilisha.
Ndugu zangu mm nili apply HQ post ya SECURITY OFFICER deadline ilikuwa may 25 lakini mpaka sasa hakuna feedback yoyote lakini vigezo vyote ninavyo
Kwa anayejua naomba anijuze zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.