Differential Equations
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 204
- 200
Moja: CCM imeharibu uchumi biashara zimefungwa, viwanda vime collapse,
Weka na la kwako, twende kazi.
Weka na la kwako, twende kazi.
It is true mkuu CCM sina hamu nayoMaisha yamezidi kuwa magumu
Post sent using JamiiForums mobile app
If you want to have better life, the secret is to change your mindset and have a positive look of the environment around you. This will enable you see opportunity in adversities instead of whining. If you don't, then be ready for a worse life than you have now irrespective of whoever or whichever party is in power.Moja: CCM imeharibu uchumi biashara zimefungwa, viwanda vime collapse,
Weka na la kwako, twende kazi.
Vinaibuka viwanda vya kichina na Wachina hybrid of neocolonialism [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]Moja: CCM imeharibu uchumi biashara zimefungwa, viwanda vime collapse,
Weka na la kwako, twende kazi.
Watu wamekusanyika kwa mujibu wa sheria ili wapange cha kufanya ccm imetuma mipolisi kwenda kuwakamata!!!Wewe umefanya nini bila kutegemea CCM, unallamika wakati wengine wanasonga mbele...je haujiulizi lipi haujui na vipi kuulizwa ukafundishwa nawe ukawa kama ambao hawalalamiki?
Ungetaja hayo unayolalamikia na wewe upo kwenye lipi haswa upande wako.
Zaidi ni porojo, CCM haiwezi kukuwekea chakula mezani. Umeibuka na kujiandikia tu
Mpendwa nchi iko mnadani dalali mkuu ni ccm mteja mzuri ni mchinaWewe umefanya nini bila kutegemea CCM, unallamika wakati wengine wanasonga mbele...je haujiulizi lipi haujui na vipi kuulizwa ukafundishwa nawe ukawa kama ambao hawalalamiki?
Ungetaja hayo unayolalamikia na wewe upo kwenye lipi haswa upande wako.
Zaidi ni porojo, CCM haiwezi kukuwekea chakula mezani. Umeibuka na kujiandikia tu
solution..?Vinaibuka viwanda vya kichina na Wachina hybrid of neocolonialism [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Post sent using JamiiForums mobile app
Kwani huo wakati wa uchumi, biashara na viwanda CCM haikuwepo?Moja: CCM imeharibu uchumi biashara zimefungwa, viwanda vime collapse,
Weka na la kwako, twende kazi.
Moja: CCM imeharibu uchumi biashara zimefungwa, viwanda vime collapse,
Weka na la kwako, twende kazi.
if it's toolate don't blame!.. mfumo sio katiba!,mfumo ni watu... we have problem called "ujinga" hatuoni thamani yetu wala ya kile tulichonacho ule wivu wa maendeleo umefia jangwani! inside tunaona CCM kama tatizo but outside wanaona WATANZANIA wenyewe ndo tatizo.. we are the broblem.. hata tukisema neocolonialism ni tatizo lkn ni nani anaefungua bomba ili maji kupita..? we are the broblem!Too late
Post sent using JamiiForums mobile app
Gari ina madereva wangapi?if it's toolate don't blame!.. mfumo sio katiba!,mfumo ni watu... we have problem called "ujinga" hatuoni thamani yetu wala ya kile tulichonacho ule wivu wa maendeleo umefia jangwani! inside tunaona CCM kama tatizo but outside wanaona WATANZANIA wenyewe ndo tatizo.. we are the broblem.. hata tukisema neocolonialism ni tatizo lkn ni nani anaefungua bomba ili maji kupita..? we are the broblem!