Daah kweli kweny miti hakuna wajenz. Nilipewa hio scholarship ila nikakataa kwenda kusoma kumbe kuna watu wanaipigania hivi. Ujipange kufanya mtihan wa kijapan japo hujawahi kukiona. Mimi nilipewa direct kutoka Japan cz kuna watu najuana nao kule hivyo walinichukulia admission na recommendation...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.