Wanazengo nimemvaa mwanamke mmoja ila na wasiwasi sana na mbaya zaidi nilipiga kavu. Kwa mwenye ufaham hivi zile dawa za kuzuia maambukiz baada ya kupiga demu mweny ugonjwa yaan PEP zinapatikana kweny hii hospital ya sinza Palestine???
Acha kujitesa we tulia home. Binafs na miaka 37 na niko home na siwaz kutoka na nmetoka kupiga Chai hapa baad ya ibada ya dominika. Sahiv naperuz JF hapa saafi kabsa. Kikubwa uzingatie maadili home kama kwenda ibadan, ukitaka kurudi saa saba usik unatoa taarfa, hauingiz dem home etc USITOKE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.