Kwa kweli mmenikumbusha mbali sana, kwani tulikuwa tunabeba kila kitu kichwani.. HEBU MWENYE REKODI YA HADITHI YA WALE WATU WATATU WALIOJIFUNIKA NA MAJANI VITANI NA KUAMBIANA WAKAE KIMYA ADUI WAKIPITA. WA KWANZA BAADA YA KUKANYAGWA ALILALAMIKA "MBONA MNAKANYAGA WENGINE KAMA MAJANI?', WA PILI...
Kwa kweli watu inabidi wajielewe na haki zao wazijue...sasa wewe unavyosema raza ndio mwenye mali una maana gani? mali ya kununua kura za watu? wandugu hayo mazoea yaliyorithishwa kwenywe vichwa vya watu na utawala uliopo ni ugonjwa ulowakumba watu wengi kama mwandishi wa hiyo msg juu.....RUSHWA...
jamani hapa inabidi kukaa chini na kujiuliza uhuru tuliokuwa tunapigania una maana gani??? Hii ni kwa sababu katika hali ya kawaida uhuru tulioupata kutoka kwa wazungu hao ili tujitegemee umekuwa hauna maana, kwani haohao wazungu tuliowafukuza ndio wanaendelea kutupangia jinsi ya kuishi, yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.