Hapo ndo pana shangaza na kukatisha tamaa pale mwanamme mzima na akili zake timamu kubadilika na kuanza kuvaa kibaraka shehe, gauni na kususia viatu infavour of kandambili??!!!!Mara hii mutamaliza maneno yenu yote mpaka mate mdomoni yawakauke lakini mwisho wa siku jimbo la Uzini hamulipati (Raza ndiye mwenye mali). Kama hamuna kazi ya kufanya vukeni Bahari muje Pemba huku mujumuike na Wanyamwezi wa Tabora na Wasukuma wa Shinyanga tuwape mashamba ya mikarafuu mutuondolee magugu na pori! Njooni huku kuna Mapesa ya Bure ya Wajomba zetu toka Arabuni, mukirejea 'Bongo' nyote mupo full vibaraghashia huku mukiwa mumejaza tende kwenye viroba.
hee! jimbo limekuwa "mali!" unamaana gani kusema "Raza ndo mwenyemali". Ukishazoea wizi, kila kitu ni mali. mafisadi wakubwa.
Mbona kama haujui kiswahili hivi na hata kuandika haujui?ulikua unakimbia darasani nin?kama vipi piga elimu ya watu wazima sio mabaya mkuuMara hii mutamaliza maneno yenu yote mpaka mate mdomoni yawakauke lakini mwisho wa siku jimbo la Uzini hamulipati (Raza ndiye mwenye mali). Kama hamuna kazi ya kufanya vukeni Bahari muje Pemba huku mujumuike na Wanyamwezi wa Tabora na Wasukuma wa Shinyanga tuwape mashamba ya mikarafuu mutuondolee magugu na pori! Njooni huku kuna Mapesa ya Bure ya Wajomba zetu toka Arabuni, mukirejea 'Bongo' nyote mupo full vibaraghashia huku mukiwa mumejaza tende kwenye viroba.
Hapo ndo pana shangaza na kukatisha tamaa pale mwanamme mzima na akili zake timamu kubadilika na kuanza kuvaa kibaraka shehe, gauni na kususia viatu infavour of kandambili??!!!!
Mbona unamshusha hadhi Dr Slaa. hadhi ya Dr Slaa ni Uraisi. Hadhi ya ubunge ni saizi yangu kugombeaHv kwnn hilo jimbo hakugombea slaa?
Mara hii mutamaliza maneno yenu yote mpaka mate mdomoni yawakauke lakini mwisho wa siku jimbo la Uzini hamulipati (Raza ndiye mwenye mali). Kama hamuna kazi ya kufanya vukeni Bahari muje Pemba huku mujumuike na Wanyamwezi wa Tabora na Wasukuma wa Shinyanga tuwape mashamba ya mikarafuu mutuondolee magugu na pori! Njooni huku kuna Mapesa ya Bure ya Wajomba zetu toka Arabuni, mukirejea 'Bongo' nyote mupo full vibaraghashia huku mukiwa mumejaza tende kwenye viroba.
Dr.amefanya vizuri sana kukumbushia jinsi alivyoanzisha mapambano haya dhidi ya posho za wabunge katika bunge la 9 na hatimaye Mbowe kuweka hili suala bayana katika bunge la bajeti kwamba posho si hoja ya mtu binafsi bali ni hoja yachama.
Nakubali kwamba Zitto ni waziri kivuli wa fedha na ndiye aliyetumwa na chama kusemea chama chake. Zitto kaendeleza alipoishia Dr. Slaa kuhakikisha hoja haifi, lakini Zitto ameenda hatua ya ziada ya kuamua kuacha kuchukua posho ili kuonyesha njia. Njia pekee ya Chadema ni kumuunga mkono kiongozi wake kwa kuagiza wabunge wake wasipokee posho za vikao.
.
Mbona kama haujui kiswahili hivi na hata kuandika haujui?ulikua unakimbia darasani nin?kama vipi piga elimu ya watu wazima sio mabaya mkuu
Kwa kweli watu inabidi wajielewe na haki zao wazijue...sasa wewe unavyosema raza ndio mwenye mali una maana gani? mali ya kununua kura za watu? wandugu hayo mazoea yaliyorithishwa kwenywe vichwa vya watu na utawala uliopo ni ugonjwa ulowakumba watu wengi kama mwandishi wa hiyo msg juu.....RUSHWA MNAIWEKA MBELE KATIKA MASUALA YA MSINGI YA MAISHA YA WATU....
BADILIKENI JAMANI MJITAMBUE NA LINDENI HAKI ZENU...PESA ISIWE KIGEZO CHA UONGOZI..."MWENYE MALI?"
Mara hii mutamaliza maneno yenu yote mpaka mate mdomoni yawakauke lakini mwisho wa siku jimbo la Uzini hamulipati (Raza ndiye mwenye mali). Kama hamuna kazi ya kufanya vukeni Bahari muje Pemba huku mujumuike na Wanyamwezi wa Tabora na Wasukuma wa Shinyanga tuwape mashamba ya mikarafuu mutuondolee magugu na pori! Njooni huku kuna Mapesa ya Bure ya Wajomba zetu toka Arabuni, mukirejea 'Bongo' nyote mupo full vibaraghashia huku mukiwa mumejaza tende kwenye viroba.
Mkuu Mpemba mbishi, hakyanan wanchekesha!
Tizama hapo nlipotilia wino mwekundu.
Pamoja na mapesa ya bure kutoka kwa ankol zenu wa Arabuni, mbona vijumba vya tembe vimeongozana huko Pemba?