Recent content by Dickson84

  1. D

    JamiiForums Tanzania Leo Tigo kama Tanesco

    Nadhani mitandao yote ya simu Tanzania imekuwa ya hovyo sana ni matatizo ambayo yanajirudia mara kwa mara. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. D

    JamiiForums Tanzania Acha voda waendelee kuringa

    Halotel nao wamekuwa hovyo sana aisee Sent using Jamii Forums mobile app
  3. D

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU yamshikilia Mwalimu wa shule ya Sekondari Embarway kwa tuhuma za kumuomba mwanafunzi wake rushwa ya ngono

    Dah hivi hawa waalimu hawajifunzi tu kwa wenzao aisee!! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. D

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Chuo cha Dar es Salaam kimeanza kuzingatia uvaaji wa mavazi kwa wanafunzi

    Soma vizuri hayo maandishi madogo hapo chini ya tangazo mkuu
  5. D

    JamiiForums Tanzania Uandikishaji Wapiga Kura 2019: Baadhi ya hoja za wasio tayari kujiandikisha ni hizi...

    Hayo ni maamuzi yao kila mtu anahaki ya kusimamia kile anachokiamini
  6. D

    JamiiForums Tanzania Hivi R, L na H, ni Ugonjwa wa Taifa?

    Wahandishi = waandishi
  7. D

    JamiiForums Tanzania Lori jingine la mafuta lapata ajali Handeni, wananchi wakimbilia tena kuchota

    Mkuu hiyo kodi inayokwepwa inazidi gharama ya gari?
  8. D

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata AVN number kutoka NACTE

    Pole sana, inabidi ujitahidi uende physically ofisini kwao ukawaeleze watasolve hilo tatizo haraka.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Magufuli na CCM yako waoneeni huruma watoto hawa

    Duh hii hatari sana
  10. D

    JamiiForums Tanzania Hii ni kwa wapenda mayai wote

    Mbona hujaweka bei? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. D

    JamiiForums Tanzania Miezi 18 kabla ya uchaguzi mkuu, Magufuli kaamua kwenda Mbeya

    Kama huwezi kununua hata mshikaki mmoja hiyo hela ya kumchangia ulitoa wapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. D

    JamiiForums Tanzania Kuanzia leo nampa rasmi Mheshimiwa January Makamba cheo cha ‘Rais wa Mafumbo na Fasihi katika Mawasiliano’

    Ndio alikuwepo Sent using Jamii Forums mobile app
  13. D

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Tangatanga ni ugonjwa gani?.(Wenyeji wa morogoro msaada plz).

    Sasa sijajua kama wewe upo dar au vipi ila kama upo dar duka lipo pale manzese njia ya kwenda mbokomu mkono wako wa kulia ukiingia hiyo barabara ya mbokomu yani duka lipo mwanzoni kabisa. Hiyo dawa unakunywa na kupaka asubuhi ma jioni. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. D

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Tangatanga ni ugonjwa gani?.(Wenyeji wa morogoro msaada plz).

    Hiyo dawa siifahamu kwa jina ila kwa kuiona ndio naifahamu kwa sababu mimi pia nilishawahi kupatwa na tatzo kama hilo nilienda hospital nyingi na kutumia madawa mengi lakini sikupona. Ila baada ya kwenda kwenye maduka ya dawa za aisili nilipewa hiyo dawa na ilinitibu mpaka leo hii hilo tatizo...
Back
Top Bottom