Corona kwenye ubora wakeSiku hizi Tigo ni kama Tanesco. Mawasiliano yanakatika anytime without notice and nobody cares to apologise.
Imenitokea sana leo nilipokuwa nazipigia namba za voda toka tigo.Voda nao wamezingua leo, ukimpigia mtu simu inaenda kwa mtu mwingine au unaweza piga kabla simu haijapokelewa unasikia mtu anaongea tena tofaut na uliempigia sijui server zao zinatatizo
Mkuu hiyo imenitokea hata mimi leo na imeniharbia sana siku mida ya saa 5-6 mchana. Bado nasubir apologize lkn bila bila haadi sasaVoda nao wamezingua leo, ukimpigia mtu simu inaenda kwa mtu mwingine au unaweza piga kabla simu haijapokelewa unasikia mtu anaongea tena tofaut na uliempigia sijui server zao zinatatizo
Sijaelewa hapa mkuu, kwamba boda ya namanga ipo karibia na Rombo???Mimi niko hapa Namanga. Hapa tunatumia Safaricom 24/7. Tatizo nikienda kula nyama choma Rombo.
Rombo ndio inayoongoza kwa kuchoma nyama hapa Tanzania. Ukitaka kula vitamu umbali sio kikwazo. Hata wewe bro kuna siku umemfuata demu wako Buza wakati umepita mademu kibao hapo Buguruni, Kiwalani na Vingunguti.Sijaelewa hapa mkuu, kwamba boda ya namanga ipo karibia na Rombo???
Mkuu hiyo imenitokea hata mimi leo na imeniharbia sana siku mida ya saa 5-6 mchana. Bado nasubir apologize lkn bila bila haadi sasa
Siku hizi Tigo ni kama Tanesco. Mawasiliano yanakatika anytime without notice and nobody cares to apologise.
Tupo vizuri sana kama haupati taarifa tupatie namba yako ya simu yenye WhatsApp na wilaya unayoishi kwa hatua zaidiSiku hizi Tigo ni kama Tanesco. Mawasiliano yanakatika anytime without notice and nobody cares to apologise.
Nimependa ushapu wenu,chapeni kaziTupo vizuri sana kama haupati taarifa tupatie namba yako ya simu yenye WhatsApp na wilaya unayoishi kwa hatua zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo vizuri sana kama haupati taarifa tupatie namba yako ya simu yenye WhatsApp na wilaya unayoishi kwa hatua zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app