Wakuu habari zenu,
sikuwa na nia ya kuendelea na elimu ya juu hivi karibuni lakini kulingana na mishe zangu kusuasua kwa kiasi kikubwa hizi dakika za mwisho nimeona bora nirudi shule huku nikijijenga upya. nimeingia kwenye site za baadhi ya vyuo kufanya application kuna kipengele kikanihitaji AVN ( Award Verification number) kuwasiliana na help desk ya vyuo husika wakaniambia inatoka nacte, nikaingia website ya nacte nikaweka detail zangu kwa usahihi kabisa system yao ikanikatalia zaidi ya mara4 kwamba mwaka wa graduation na registration number ya diploma yangu havimatch wakati taarifa zote ni shahihi na kibaya namba za help desk za nacte zote hazipatikani na za zonal zinazopatikana hazijibiwi ...nimewatumia email hawajibu na hapa naona deadline ya application nyingi za vyuo ni next week, nisaidieni wakuu kwa wanaofahamu hii issue
Pole sana, inabidi ujitahidi uende physically ofisini kwao ukawaeleze watasolve hilo tatizo haraka.Wakuu habari zenu,
sikuwa na nia ya kuendelea na elimu ya juu hivi karibuni lakini kulingana na mishe zangu kusuasua kwa kiasi kikubwa hizi dakika za mwisho nimeona bora nirudi shule huku nikijijenga upya. nimeingia kwenye site za baadhi ya vyuo kufanya application kuna kipengele kikanihitaji AVN ( Award Verification number) kuwasiliana na help desk ya vyuo husika wakaniambia inatoka nacte, nikaingia website ya nacte nikaweka detail zangu kwa usahihi kabisa system yao ikanikatalia zaidi ya mara4 kwamba mwaka wa graduation na registration number ya diploma yangu havimatch wakati taarifa zote ni shahihi na kibaya namba za help desk za nacte zote hazipatikani na za zonal zinazopatikana hazijibiwi ...nimewatumia email hawajibu na hapa naona deadline ya application nyingi za vyuo ni next week, nisaidieni wakuu kwa wanaofahamu hii issue
Ivi kumbe ukienda physically wanakupatia piaaaaNenda ofisin kwao utaipata haraka kuliko kufanya applcation.
kwa dar ziko wapi ofisi zao
Chakufanya hapo nenda ofisini kwao kabisa utapata msaada wa haraka zaidi, chukua barua ya chuo ulichosoma pamoja na baadhi ya viambatanishi vya kukutambulisha uwahi mara moja maana hao jamaaa hawajibu mtu kwenye EMail wala kwa simu ,
Ila ukifika ofisini kwao nadhani utakuta wanapoga stories na kusoma magazeti kama upo kaskazini , makao makuu yao yapo Arusha , karibu na New Arusha hotel , jengo linaitwa MAFAO HOUSE GHOROFA YA 8