Musundi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,584
- 2,614
Halotel wanajitahidi bei nafuu na internet. Tatizo lao fast internet ipo mjini tu. Km 2 nje ya mji inasoma e
Halotel wanajitahidi bei nafuu na internet. Tatizo lao fast internet ipo mjini tu. Km 2 nje ya mji inasoma e
kabisakama wew unategemea internet katika kufanya kazi zako huna namna ya kuwakwepa voda
Halotel wanayo 4G.Hallotel had leo hawana 4g yanini kwangu....Voda vifurush vyao ghali... Airtel wako na tatizo la mtandao wa data yan muda wowote utashangaa wako off...Tigo uwiiiiiiiiiii wako ghali mb zakunusa....Ttcl wako na vifurush rahisi na mb nyingi ukilinganisha na hao wengine ila 4g inasehem na sehem yan mtaa huu unaipata mtaa mwingine holla yan haiko full covered.Kibabe kwa sasa niko Airtel 2gb 2000 kwa siku 3.
Sent using Jamii Forums mobile app