Mi naomba ipitishwe sheria mpya kuwa mtu akifikia atua fulani ya utajiri hasiruhusiwe kugombea uongozi wowote serikalini ili wabaki kwenye miradi yao na watakuwa na akili chanya ya kimaendeleo na kwa haki na usalama ✅
Umetoa meno zuri sana aisee pongezi kwako na pia niongezee hapo unamuoa mwanamke unaamua kumtafutia kazi ili msaidizane katika majukumu ya familia yenu unaweka mfanyakazi nyumbani ili na yeye apate unafuu wa kazi zake na za nyumbani lakini mwisho wa siku inakua kile alicho kipata yeye ni chake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.