Habari mh, mtaalam wa sim..Nina sim aina ya Nokia asha201 tatizo lake ilizima gafla tuu... Baadae nikaipeleka kwa fundi akaiflashi ikawaka sasa nikanunua na betr mpya sasa tatizo limerudia tena hata kama betr inachaji haiwaki au ionyeshe MwaNgA kisha inazima moja kwa moja tatizo n nn mkuu
Hilo bomb LA Moab ni kubwa na linaharibu sehem kubw sana. Embu assume. Lina uzito wa tani 11... Pressure yake inauwezo wa kumsambaratisha mtu akawa vipande vipande
Mwambie hupendi hiyo tabia ila sio umwambia kwa kukurupuka nooo.., tafuta mda tokeni ata out kidogo mkae mahali.... Na hakikisha ana furaha na jaribu kumwelewesja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.