Kwani Jecha naye alifutia mahakamani? Akiwa kama jaji? Kwa kesi namba ngapi? Iliyofunguliwa kwenye mahakama yake na akina nani? Kwa mujibu wa ibara ipi ya Katiba yoyote ya Tz au Z'bar? Au kwa mujibu wa sheria ipi halali?
Ebu acheni kumfananisha CJ Maraga na vitu vya kipuuzi!
Sisi Waafrika ni watu wa ajabu sana.
Badala ya kujenga mifumo na Taasisi bora na imara, ikiwemo katiba bora, sisi tuko busy kujenga pesonalities za viongozi! And that is the problem of we Africans! Huwa hatuwazi what will happen after that leader is gone!
Yani badala ya kuwaza Tanzania...
Yani chuki nyingine bhana, ni zaidi ya gubu! Sasa hapo taifa la Israel linaingiaje katika mjadala huu, au ndo chuki dhidi ya waliofanikiwa zaidi yako??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.