Ni aibu sana, katika mahitaji ya mtu mmoja au wawili unaita watu zaidi ya mia sita kwenye 1st Interview. Alafu katika mchujo wakwanza wanapita watu 10. Tufike mahala tujue kwamba hawa watu mnaowaita sio wote ni wakazi wa DSM wengine wengi wanatoka mikoani, yawapasa kujua wanajigharamia kwa kila...
"Men spend almost a year of their lives staring at women, a survey found." nazani kwa upande wetu wabongo tunatumia zaidi ya miaka kuzitolea macho zawadi pendwa haha..
Jaman mambo mengine ya ajabu, embu tujiulize hii evolution of man iliiishia wapi?? kama masokwe mengine yamebaki kuwa masokwe. au hizo activities za enzi zile zimekuwa tofauti na harakati za masokwe wa siku izi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.