Wadau Hii kitu nimeona kabisa inawezekana kujengwa pale inapo anzia fence ya airport ukiwa unatoka tazara pana mwinuko flan hivi.
Nadhani lazima tuwe na vitu mbalimbali muhimu na vya kupendeza.
Kuna mtu anauza Terios Daihatsu 1999 2m, anasema changamoto ni gearbox, Tafadhali kwa wazoefu wa hii gari Terios Daihatsu.
Naombeni msaada hasa uimara na ulajiwake wa mafuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.