The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Habari zenu wadau.
Miaka 3 iliyopita Zambia ilitiliana saini na Tanzania kujenga Bomba la Pili yaani Tazama 2 ili kusafirisha Mafuta na gas.
Aidha kukokuwa na Makubaliano ya Ujenzi wa Bomba kingine la kusafirisha Mafuta safi ya kula kutoka Bandari ya Dar Hadi Lusaka.
Kutokana na uswahili,ubabaishaji,urasimu na kujivuta vuta kwa Tanzania kwenye kufanya maamuzi ,Wazambia wamelazimika kuitosa Tanzania.
Hivi Sasa wamesaini Makubaliano ya Ujenzi wa mabomba ya kusafirisha Mafuta na gas kutoka Nchi za Angola na Namibia.
Kiukweli Viongozi wa Tanzania hii huwa wanakera Sana kwenye kufanya maamuzi sijui Nchi za kijamaa huwa Zina shida gani.
Tunakoelekea hata Uganda na Kenya zitaghairi kufanya utekelezaji wa ujenzi wa mabomba ya kusafirisha gas Hadi kwenye Nchi zao na kutafuta alternative.
Viongozi wa Tanzania jifunzeni kuwa aggressive kutafuta fursa na kutumia fursa zinapojitokeza..Kwa mwendo huu Ni lini Tanzania itahufaika na kuwepo eneo la kimkakati kwa kupakana na Nchi Nyingi?
Tanzania inatakiwa kufahamu kwamba tuko kwenye ukimwengu wa ushindani na fursa iliyopo Tanzania inapatikana na Nchi nyingine pia.
Juzi tuu hapo Mozambique wamekanza kusafirisha gas Yao Ulaya na Nina hakika watajenga Hadi LNG huku Tanzania tukiendelea na kubishana na kuzozana kuhusu hiyo miradi kusiko na tija.
Just imagine tukianzaga lini kuzungumzia Chuma Cha Liganga na mchuchuma toka nazliwa na Sasa naenda uzewni Hakuna Cha Maana kinafanyika wakati Uganda hapo Wana Chuma na Kuna wawekezaji wanachimba na kutengeneza bidhaa za chuma.
Kiukweli ujamaa ni dhana mbovu Sana aisee yaani unafanya watu wanakuwa mandezi, kubali kataa 👇
Miaka 3 iliyopita Zambia ilitiliana saini na Tanzania kujenga Bomba la Pili yaani Tazama 2 ili kusafirisha Mafuta na gas.
Aidha kukokuwa na Makubaliano ya Ujenzi wa Bomba kingine la kusafirisha Mafuta safi ya kula kutoka Bandari ya Dar Hadi Lusaka.
Kutokana na uswahili,ubabaishaji,urasimu na kujivuta vuta kwa Tanzania kwenye kufanya maamuzi ,Wazambia wamelazimika kuitosa Tanzania.
Hivi Sasa wamesaini Makubaliano ya Ujenzi wa mabomba ya kusafirisha Mafuta na gas kutoka Nchi za Angola na Namibia.
Kiukweli Viongozi wa Tanzania hii huwa wanakera Sana kwenye kufanya maamuzi sijui Nchi za kijamaa huwa Zina shida gani.
Tunakoelekea hata Uganda na Kenya zitaghairi kufanya utekelezaji wa ujenzi wa mabomba ya kusafirisha gas Hadi kwenye Nchi zao na kutafuta alternative.
Viongozi wa Tanzania jifunzeni kuwa aggressive kutafuta fursa na kutumia fursa zinapojitokeza..Kwa mwendo huu Ni lini Tanzania itahufaika na kuwepo eneo la kimkakati kwa kupakana na Nchi Nyingi?
Tanzania inatakiwa kufahamu kwamba tuko kwenye ukimwengu wa ushindani na fursa iliyopo Tanzania inapatikana na Nchi nyingine pia.
Juzi tuu hapo Mozambique wamekanza kusafirisha gas Yao Ulaya na Nina hakika watajenga Hadi LNG huku Tanzania tukiendelea na kubishana na kuzozana kuhusu hiyo miradi kusiko na tija.
Just imagine tukianzaga lini kuzungumzia Chuma Cha Liganga na mchuchuma toka nazliwa na Sasa naenda uzewni Hakuna Cha Maana kinafanyika wakati Uganda hapo Wana Chuma na Kuna wawekezaji wanachimba na kutengeneza bidhaa za chuma.
Kiukweli ujamaa ni dhana mbovu Sana aisee yaani unafanya watu wanakuwa mandezi, kubali kataa 👇