Recent content by diala zedi

  1. diala zedi

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    MH.Rais wa JMT Dr.John Pombe Joseph Magufuri .hawezi kuwa sawa Mwl.nyerere . kwasababu.wanatofautiana vitu. 1.Rais JPM anaupinzani mkali tofauti na Nyerere 2.Wananchi wengi walikuwa wamechoka chama tawala 3.Rais JPM analiongoza taifa wakati idadi wasomi...
  2. diala zedi

    Ni kifungu gani cha katiba kinachomlazimisha mchaguliwa kukaa madarakani miaka yote mitano?

    Achafikira potofu kufanya uchaguzi tena akijiuzuri nihasara kubwa katika taifa .
  3. diala zedi

    Tundu Lissu kuiondoa CCM 2020

    Naunga mkono hoja
  4. diala zedi

    Ujumbe wa baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA kuipasua CCM vipande vipande)

    Binafsi naunga mkono hoja.lakini naikosoa BAVICHA kwakosa la kuzuia mkutano mkuu wa CCM taifa tena wa uchaugizi viongozi ndani ya chama. ambapo rais wetu Mh.JPM atakabiziwa rais awe mwenyekiti CCM taifa.rais wetu tunatakata awe mwenyekiti .je BAVICHA waenda dodoma kuvuruga,au kumpongeza...
  5. diala zedi

    Wanaume wanoatafuta six pack

    Mleta maada wengi wemekuunga mkono na mimi nataka niase "watu wa dunia hii wanateseka sana mambo wa mapenzi wanaumizwa kila siku,kwasababu wa2 kama nyie mnaotoa ushauri wa kupotosha pa usio nautafiti.nimefanya utafiti 80% wanawake wanaangalia SHAPE,RANGI na sio akiri,busara.angalia wanaume...
  6. diala zedi

    Namtafuta wangu niliyeahidiwa

    Kama anakuhitaji endelea nae.kama uliamua ujitunze na wazee niwewe mwenyewe hukulazimishi na huyo mdada.akuamua kufanyakitu fanya wew usilazimishe mawazo wako yawe
  7. diala zedi

    Jambo la ajabu laweza kutokea Dodoma July 23, 2016

    Watanzania wengi tunamtaka Rais John Joseph Pombe magufuli awe mwenyekiti na ndio inatakavyokuwa ,hakuna wapinga.
  8. diala zedi

    Haikuwa sahihi kwa Magufuli kugawa Maburungutu ya pesa hadharani

    Usimkose Rais wetu JPM kwa mambo yasio na maada .twende na JPM tunafika pazuri na sio kukosoakosoa kijinga Hapakazi tu!
  9. diala zedi

    DAR: RC Makonda atangaza vita dhidi ya mashoga. Atishia kuzifuta asasi zinazowatetea!

    Makonda acha sifa mbaya xana.kwahili shisha,mashoga wew hutaweza waachie viongozi wa dini,waste your time.
  10. diala zedi

    Kumpenda mtu asiyekujua

    Uko sahihi sana .endelea kumpenda mpaka milele huyo hatakuja kukuumiza hata siku moja,si wew tu ko pamojaaa
  11. diala zedi

    Kumpenda mtu asiyekujua

    Uko sahihi sana .endelea kumpenda mpaka milele huyo hatakuja kukuumiza hata siku moja,si wew tu ko pamojaaa
  12. diala zedi

    Fumbo la Zitto

    Zito is wright
  13. diala zedi

    Maghembe: Tanzania sio koloni la Kenya

    Prof Magembe acha kufanya siasi.unataka uwaambie nn watanzania,kuiga mpango kutoka nchi kubwa na ya watu wengi mf. Uingeleza,Kenya,tutakuwa koloni lao.je utaka tuenda Rwanda kwa PK
  14. diala zedi

    Waumini wa Mchungaji Gwajima waanza kumchoka. Wengi waonesha mashaka yao juu ya kuumwa kwake

    mchunga wetu Gwajimu Mungu akusaidi upone.ila muache best africa democratic leader Dr.Jakaya Kikwete
  15. diala zedi

    Nilimtongoza akanikatalia, karudi tena

    Alikutaliaje alikwambia sikupendi,alikutukana,.kama haukuambia maneno mabaya basi mtongoze tena,af don't think about negative effect in love affairs
Back
Top Bottom