Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 8,390
- 11,890
Ina maana mzee Lowassa hafai tena?
ccm uchwara ilimwacha wapi?Lowassa mtamuacha wapi?
Umasikini na ujinga wa Watanzania yote hayo yameletwa na ccm, kwahiyo ujinga/upumbavu/ubwege/ uwendawazimu na ccm ni kama maji na samakiAcheni kuifananisha ccm na mambo ya kijinga
Wekeni sasa watu watusue,Km ni shati si ndo neema kwa chama chenu cha uchwara? Au utaka style ya kuvizia ili watu wasipate mda wa kumfahamu mtu anayetaka kuwa raisi wa nchi km alivyofanya jpm? Unafikiri angetangaza mapema anataka kuwa rais watz wakamchunguza ingekuwaje? Hapo alipo anajua fika mwisho wake urais 2020, hachaguliki tena maana waliomchagua hawakupata mda wa kumfahamu
Ndo umeandika nini, ipi ni ipi kati ya uchwara na ulaza-vi-kilaza?Wekeni sasa watu watusue,
Unapoteza muda kuandika hadithi na ndiyo za alinacha! Si bora ungetumia muda huo kuuza japo nyanya?????Ushauri kwa wapenda mabadiliko wote Tz na hasa kwa namna ya pekee chadema, ukawa, vyama vya ccm B na mwisho kabisa kwa umuhimu baadhi ya watu ndani ya ccm
Watz wengi ni hawajui jinsi nchi inavyoendeshwa zaidi wanaelewa taratibu sana (slow learners, kwa mfano uchaguzi wa 2015 ilikuwa vigumu kwa wengi kuelewa tofauti ya Lowassa wa ccm na Lowassa wa Chadema ukawa, matokeo yake wapo wapinzani wengi walioishabikia na kuichagua ccm na uchwara wake wote.
Logic ni kwamba kusubiri mpaka karibu na 2020 ndiyo tumjue mgombea watz wengi hawaelewi haraka kwa hiyo itakuwa kazi ngumu sana kumuuza, elewa kuwa 75% wapo vijijijni where poverty and ignorance are main features.
Kwa hiyo ushauri rahisi kwa maoni ni kwamba upinzani uwe na mgombea kuanzia sasa ili wanaoelewa taratibu wapate mda wa kutosha kujenga imani lakini zaidi kumfahamu yeye ni nani, 2010 Slaa aliingia dakika za mwisho wakaibuka na habari ya kupora mke wa mtu, 2015 Lowassa wakaibuka na fisadi amekimbia mara anaumwa etc etc.
Kwa siasa za upinzani Tz mpaka leo, mtu pekee ambaye ameonesha kwa vitendo kwamba anaweza kuongoza kujenga Tz endelevu ni Tundu Lissu. Akiwekwa sokoni leo, kabla ya 2020 mchezo utakuwa tayari umeisha. Inaweza kuwa mtu lakini ni lazima kumuweka sokoni sasa.
Wekeni tu huyo wa MIREMBENI kama hamjakimbiana kabla ya 2020Km ni shati si ndo neema kwa chama chenu cha uchwara? Au utaka style ya kuvizia ili watu wasipate mda wa kumfahamu mtu anayetaka kuwa raisi wa nchi km alivyofanya jpm? Unafikiri angetangaza mapema anataka kuwa rais watz wakamchunguza ingekuwaje? Hapo alipo anajua fika mwisho wake urais 2020, hachaguliki tena maana waliomchagua hawakupata mda wa kumfahamu
Machadema ndio yamejaa wizi mtupuUmasikini na ujinga wa Watanzania yote hayo yameletwa na ccm, kwahiyo ujinga/upumbavu/ubwege/ uwendawazimu na ccm ni kama maji na samaki
Wanataka kumuua huyu mzee kwa BP. Mbowe ni hatari sana amenza kubadili gia angani kupitia vijana wake. Lowassa utaisoma namba kwa mara nyingine tenaLowassa mtamuacha wapi?
Wanajipanga kumchinjia baharini ma-mviMachadema ndio yamejaa wizi mtupu
Hiki ndicho Vuvuzela Lissu amekua akikitafuta siku zote. Anakaribia kufanikiwa ngoja tuoneAcheni kuifananisha ccm na mambo ya kijinga
Tehe tehe tehe tehe. Aisee humu kuna vichwa. Kama kweli vile!Were hiyo nafasi imekodiwa na Lowassa mpaka 2020 his a zitakapoisha
KUlinganisha na mafissim?Machadema ndio yamejaa wizi mtupu
Ilimkata.ccm uchwara ilimwacha wapi?
Hata huku hana hati milikiIlimkata.