unaingiza udin badala ya uhalisia
walimpeleka kwny mtaro na ww unaamin hivy je ulithibitsha???
kwann isiwe kwmb alipigwa akafia kwny mtaro km teja
sadam alikuwa wa kawaida ndo maan akafutwa kw harak kwny raman ya dunia
hii ni kejel na dharau ya hali ya juu
kwa hiyo uzee hauend kwa mtu mwlm?
ukiona huy mwlm unakata kona co??
uzee unasababishwa kuwa na maisha magum mf waishio walim lazim wazehek mapema
unakula chaki mwishoe tb inakuua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.