Kuna namna mbili tu ambazo Liverpool hii ya sasa ingeweza kuitoa Manchester United hii gonjwa katika nafasi ya nne.
1. EPL ingekuwa chini ya TFF
2. Wangemsajiri Suarez kwa mkopo.
Tofauti na hapo, zilikuwa ndoto Za kurudi kwa Nyerere kuondoa Ufisadi.
Leo pale Allianz Arena, ni mambo...
Tatizo ni kwamba we are short sited umekuwa baba Ni Dereva kama usipo pata MTU wa kukuingizia kitu kipya utakuwa dere au fundi the same to many carrier sasa hatuandaliwi na hatuandai watoto tunalalamika tuuu
Inategemea na kichwa? But PCM P na M vinauhusiano kwenye PCB P Na B havina uhusiano na vyote syllabus yake ndefu sana ila pia unataka kuwa nani both factors should be considered
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.