Gharama za kukodisha excavator

Gharama za kukodisha excavator

Ninahitaji info now zaidi
kabla sijajua ntahitaji au la

Kama ishu ya uchimbaji mkubwa excavator ndio safi..inachimba na kupakia kwenye tipper.....na hasa kama ni sehemu ndogo....kama shimo hivi....
Uchimbaji mkubwa zaidi inatumika bulldozer....linafaa zaidi kuchimba sehemu pana...halifai kupakia udongo kwenye tipper...

Kuchonga ni kazi ya grader....na kusawazisha...

Kama ni uchimbaji mdogo wa sehemu pana (shallow and wide area), wheel loader (kijiko) ndo dili....kupakia hiki kijiko ni best option.
 

Attachments

  • 1430243091424.jpg
    1430243091424.jpg
    18.9 KB · Views: 195
Kama ishu ya uchimbaji mkubwa excavator ndio safi..inachimba na kupakia kwenye tipper.....na hasa kama ni sehemu ndogo....kama shimo hivi....
Uchimbaji mkubwa zaidi inatumika bulldozer....linafaa zaidi kuchimba sehemu pana...halifai kupakia udongo kwenye tipper...

Kuchonga ni kazi ya grader....na kusawazisha...

Kama ni uchimbaji mdogo wa sehemu pana (shallow and wide area), wheel loader (kijiko) ndo dili....kupakia hiki kijiko ni best option.

Bwawa nataka
kimo ni mita moja na nusu
upana mita 20 kwa 20
 
Tazama pm
back hole ndo ikoje?
weka picha hapa

Kaka siwezi kuattach picha kutokana na kifaa ninachotumia, lakini back hole inakuwa na kijiko cha kuchimbia nyuma kama cha excavator na mbele ina kijiko kikubwa (loader), kwa kazi yako unayotaka kuifanya hiyo ndio perfect machine

jaribu ku google BACK HOLE MACHINE PHOTOS
 
Excavator ni best option....ila kama ni soft soil hata kijiko kinafaa....

Cheapest ntapata wapi?
halafu nasikia lazima libebwe na gari ingine
 
Kaka siwezi kuattach picha kutokana na kifaa ninachotumia, lakini back hole inakuwa na kijiko cha kuchimbia nyuma kama cha excavator na mbele ina kijiko kikubwa (loader), kwa kazi yako unayotaka kuifanya hiyo ndio perfect machine

jaribu ku google BACK HOLE MACHINE PHOTOS


zinakodishwaje?
 
The Boss, nitakupa excavator , just tell me the location and we can negotiate from there.
 
Bwawa nataka
kimo ni mita moja na nusu
upana mita 20 kwa 20

Excavator ni best option....ila kama ni soft soil hata kijiko kinafaa....

Hii kazi hata watu wanaweza kuifanya kwa mikono pia.
Kwa kutumia vifaa vya mikono, i.e Sururu, chepe n.k.
Ukihitaji nikuunganishe na wadau wa mikono nijulishe.
 
Hii kazi hata watu wanaweza kuifanya kwa mikono pia.
Kwa kutumia vifaa vya mikono, i.e Sururu, chepe n.k.
Ukihitaji nikuunganishe na wadau wa mikono nijulishe.

Watu wa mikono watataka hiyo hiyo laki sita
halafu wachukue siku tatu
wakati ukipata excavator ni masaa tu
 
Watu wa mikono watataka hiyo hiyo laki sita
halafu wachukue siku tatu
wakati ukipata excavator ni masaa tu

Kama ni suala la muda, excavator ni option sahihi.
Maeneo ya Kimara Baruti, kama mita 200 kutoka stendi upande wa kulia ukitokea Ubungo
kuna Jamaa wanakodisha hivi vifaa.
Jaribu kuwatembelea watakuwa na msaada mkubwa kwako.
 
Excavator 600000 grader 800000 compactor 500000 Exacavator 100-150ltra/8hours grader 150ltrs/8hours compactor 100ltrs/8hours
 
Cheapest ntapata wapi?
halafu nasikia lazima libebwe na gari ingine

Yes...excavator inabebwa kwa low loader, hasa zile zenye minyororo badala ya matairi...

Kijiko kinatembea chenyewe....

Usipokua umefanikiwa kesho nikupe link ya jamaa fulani wapo afrika sana....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom