Huyu roomate vipi?

Huyu roomate vipi?

Hakuna watu wabaya kama uyo jamaa hapo anakuvizia beki zako zifanye makosa tu anapiga counter attack hao tunawaita WAKORA akichiwa dakika moja lazima apige krosi 10,na siku ukiwaacha wawili ataanza na kukojolea CV yako ila mimi watu kama hao namaliza nao uso kwa uso kua nivungie mpwa yanaisha.
 
kikubwa mi naona kaka unampenda gf wako had unakuwa nawivu kwamtu asiye nampango nae, amini nimkalimu tu kwawageni anaona asipokuwa karibu na mgeni ataonekana anajisikia, kama unataka kuwa faragha na gf panga nje, kama sivyo usikwazike nikawaida wa2 wengine anahisi akikaa kimya atawaboa, angekuwa ndo kakayako home anawajoin we na wife kwamaongez ungemfukuza? acha wivu wamapenzi, alafu usimtusi roomate kisa gf, siku gf akikutosa utakosa mfariji, au ukaumwa night gf atakuwepo room? be careful usikurupukie mtu asiyewazia gf wako nae anawake
sijamtusi joh, na siwezi kumtusi au kukorofishana na mwana kisa girl but natafuta njia nzuri ya kumfikishia ujumbe ili asikwazike wala kujisikia vibaya
 
Watoto wa siku hizi balaa, badala ya kuuliza ishu za masomo au kazi wanauliza mambo ya hovyo kabisa ya kimapenzi

nishapiga necta zote unazozijua wewe (la 7 hadi form 6) nimefanya UE 5 hadi saiz nimebakiza moja tu, am 24 now i need someone beside me, ukinambia mi mtoto niwaze masomo yule form 4 utamwambiaje! kwa mda huu masomo yana nafasi yake na maisha yana nafasi yake. but nashukuru kwa ushauri wako
 
Laiti mngejua huku mtaani hao viumbe wamejaa mpaka wanamwagikia,mngezingatia shule walau kuboost GPA zenu.
 
Anapenda kuwatumbuiza kwa vibweka.Hali za uchangamfu na kutaka kuchangamsha hutofautiana kati ya mtu na mtu.Na ndiyo maana si wote tunaweza kufanya futuhi.Kama hana nia ovu mvumilie kibweka wenu mkuu.😀😀:thumbup::thumbup:
 
Kwa maelezo yako ni mkarimu mtu wa watu acha hizo shakashaka haikamati mwizi
 
Mimii ni finalist wa chuo flani hapa hapa TZ, nina girlfriand wangu hapahapa chuoni but ishu inakuja pale anapokuja kunitembelea room, maana kuna jamaa nakaa nae hapa (roomates) huwa simueliwi kabisa, kila mara gf wngu akija basi jamaa ndio anakua muongeaji mkuu, kila maada hata kama haijui na haimuhusu anadakia.

Inaweza ikatokea jamaa anasoma lakn akija girlfriand wangu tu basi jamaa anaacha kila anachofanya anakuja sehemu tuliyokaa nae anakaa afu ndio anakua muongeaji mkuu, kiukweli anaboa sana maana mda mwngne tunaweza tukawa serious mezani tunapiga msuli lakini jamaa mara afungulie mziki volume ya juu.

Mara aje kwenye PC yangu kana kwamba kuna kitu anatafuta, but nae ana gf wake lakn ye akija mi nakua sina time nae labda nishirikishwe kdgo ndio nachangia naogopa kumwambia mshikaji maana nitakua kama naingilia uhuru wake pia itaonekana namjali girl kuliko mwana but infact the guy is real sturbbon, nimwambie jamaa au nifanyeje na kibaya zaidi asipokuja hata wiki moja ye ndio anakua wa kwanza kumulizia.

Naombeni ushauri jamani
Huyo mate wako anahaki ya kuacha kila kitu na kuwasikiliza nyie, wewe mtu anasoma wewe unamletea mwanamke wa nini? Hiyo room imekuwa guest? Kwanini usiende nae hotel au guest au sehemu nyingine yoyote yenye privacy mkakaa huko na kupiga story zetu? Mtu anasoma wewe unamletea demu, unataka afanyeje sasa na wewe umemuondoa kwenye mood ya kusoma kwa umalaya wako?
 
Huyo mate wako anahaki ya kuacha kila kitu na kuwasikiliza nyie, wewe mtu anasoma wewe unamletea mwanamke wa nini? Hiyo room imekuwa guest? Kwanini usiende nae hotel au guest au sehemu nyingine yoyote yenye privacy mkakaa huko na kupiga story zetu? Mtu anasoma wewe unamletea demu, unataka afanyeje sasa na wewe umemuondoa kwenye mood ya kusoma kwa umalaya wako?

baada ya kuwaza mda mrefu uwezo wako ndio umeishia hapo?? tofautisha kati ya kuwa na mpenz na umalaya, na ikumbukwe hata mate wake pia mpenz wake huwa anaenda, SIO KILA ALIYE KWENYE MAHUSIANO NI MALAYA, sio unakurupuka tu kucomment kitu usichokielewa,
 
Back
Top Bottom