Nilikuwa na demu wangu kabla ya kwenda jeshini alikuwa mstaarabu, mkarimu n.k. Alivyoenda jeshin huko kwa kujitolea, bwana, kurudi, mtu wa matusi kama yote, mbabe ,hayuko romantic ,yakanishinda nikalala zangu mbele.
Juzi mwezi uliopita NSSF iliuza mradi wake wa nyumba kwa mwekezaji kwa tsh, bilioni 500, mradi ambao uligharimu tsh bilioni 300, Kwa maans hiyo faida ni tkribni bilioni 200! Hii miradi ya nyumba inaingiza faida!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.