The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,905
NHC wanajenga nyumba na kuuza na kupangisha.
Nssf wanajenga nyumba na kuuza na kupangisha.
Watumishi housing wanajenga nyumba na kuuza na kupangisha.
TBA nao wanajenga nyumba.
Hizi Taasisi haiwezekani ikapatikana Taasisi moja ikafanya hizo kazi Kwa ufanisi?.
Nashauri nyumba zote za nssf wapewe NHC serikali ilipe deni Kwa NSSF
Watumishi housing nayo waipe NHC, serikali ilipe deni.
NHC iwe public listed company dse serikali ibaki na hisa kidogo kama asilimia 40.
Hapo tutakuwa tumemaliza tatizo
Nssf wanajenga nyumba na kuuza na kupangisha.
Watumishi housing wanajenga nyumba na kuuza na kupangisha.
TBA nao wanajenga nyumba.
Hizi Taasisi haiwezekani ikapatikana Taasisi moja ikafanya hizo kazi Kwa ufanisi?.
Nashauri nyumba zote za nssf wapewe NHC serikali ilipe deni Kwa NSSF
Watumishi housing nayo waipe NHC, serikali ilipe deni.
NHC iwe public listed company dse serikali ibaki na hisa kidogo kama asilimia 40.
Hapo tutakuwa tumemaliza tatizo