Nashangaa sn hadi sasa sijakia mazishi ya huyo kijana yanafanyika lini,waislam wa kilosa mnakwama wapi?yn hadi polisi wanakuja kijana bado yupo hai tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usipoteze pesa zako,,kiwanja chenye ukubwa wa chini ya 400sqm hupewi hati isipokua utapewa leseni ya makazi tu.
Jaribu kufatili vzr wizarani kabla hujaanza mchakato
tatizo la wakenya ni moja tu,wanadhani mtu kujua kuongea kingereza basi ndo kamaliza kila kitu katika maisha ya dunia yn wao bila kingereza hakuna maisha
Mkuu nina maswali mawili juu ya mada yako naomba unisaidie
1)kuna watoto ambao wanazalia inawachukua muda kulia hadi inafikia wanapigwa kakofi kadogo ili kuwafanya walie,je hapo roho inakua bado haijwaingia wakati wapo duniani tayari?
2)katika imani yng ya kiislam tunaamini kua mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.