Wakenya acheni kumdhihaki Rais wetu

Wakenya acheni kumdhihaki Rais wetu

Kuna kipindi kinaitwa churchil show. Hicho kipindi hawa jamaa wana enjoy uhuru wa hali ya juu wanamuigiza yeyote. Kuna jamaa akimuigiza M7 utafikiri ni yeye, wanamuigiza Odinga, Uhuru na viongozi wote kwa mambo wanayoyafanya, wanaigiza sauti zao. Sisi tunaita udhalilishaji. Hahaaaaaaa
da humu wamezidisha mkuu,wanamuigiza mkuu lugha gongana halafu anakwea kwenye miti kama ngedere
 
kitu nimegundua majirani zetu wanafuatilia sana kwa ukaribu mambo ya TZ zaidi ya yanayoendelea kwao. Si ajabu wakajua ratiba za JPM zaidi ya Museven ama Kenyata
 
naona povu baba,hatima yako iko mikononi mwa jiwe ukubali ukatae

Oh yeah?

Nina akili ya ku-run circles around sio kwamba mi ni boya kiivyo!

Na pia nime diversify,50% US,50% TZ...Akifanikiwa sana sana ataniharibu 50% na yenyewe I will take my chances!
 
Kuna comedy inaonyeshwaga kwenye ktn inaitwa visanga vya makufuli humo wanamuigiliza Mh.Rais humo wanamuigiza mheshimiwa akifanya vituko akilenga mbalamwezi na manati,mara apande kwenye mti pia akiwa hajui kingereza.Wakenya acheni hii mambo muigizeni kenyatta.Hizi ni dharau na dhihaka kwa Rais wetu mpendwa.
View attachment 1137628View attachment 1137629View attachment 1137630View attachment 1137631View attachment 1137633
View attachment 1137627

kila siku JF mna msimanga nao wakenya wameona ndio njia ya kupata pakutokea.
tukisema lindeni vya ndani mnaona kero kuvua nguo nchi yetu.ushaona mabaya ya wenzetu yanakuwa nje.
 
Wameanza kuchokonoa mzinga sio.? We ngoja kipindi kile kuchoma tu vifaranga kelele kila kona
 
tatizo la wakenya ni moja tu,wanadhani mtu kujua kuongea kingereza basi ndo kamaliza kila kitu katika maisha ya dunia yn wao bila kingereza hakuna maisha
 
Akizalilishwa rais wako NI mmezalilishwa wote anaowaongoza.

HAPANA. Ningekubaliana na hoja yako endapo:
1. Ningekuwa nimechagua kuongozwa na huyo "anaedhalilishwa". Sikumchagua bali kina Lubuva ndio waliomuingiza madarakani na haniongozi ila ananitawala kwa mabavu
2. Angekuwa anasingiziwa ningesema anadhalilishwa. Lakini anayotuhumiwa ama anayakiri au anayafanya tena hadharani.
Kwa mantiki hiyo mimi sijadhalilishwa hata kidogo.
 
tatizo la wakenya ni moja tu,wanadhani mtu kujua kuongea kingereza basi ndo kamaliza kila kitu katika maisha ya dunia yn wao bila kingereza hakuna maisha

Si Kiingereza (na sio "kingereza" kama ulichoandika) tu, bali wanafanya vingi tu in addition zaidi yetu Watanzania. Ila tumewazidi kwenye kujisifu na kusifia hata pasipostahili.
 
Nchini mwao utani siyo kosa...

Mambo yao waachieni wenyewe... msiwapangie...


Cc: mahondaw
 
Kuna kipindi kinaitwa churchil show. Hicho kipindi hawa jamaa wana enjoy uhuru wa hali ya juu wanamuigiza yeyote. Kuna jamaa akimuigiza M7 utafikiri ni yeye, wanamuigiza Odinga, Uhuru na viongozi wote kwa mambo wanayoyafanya, wanaigiza sauti zao. Sisi tunaita udhalilishaji. Hahaaaaaaa

Kuna watu wanaamini kuwa jiwe hakosei na hivyo kila asemalo au afanyalo ni sahihi.
 
Back
Top Bottom