Recent content by Detective1

  1. D

    David Kafulila afungua kesi Mahakama kuu, kutetewa na Tundu Lissu

    MIKUmi chadema imeshinda ila Urais magufuli kaongoza hizo takwimu zako za twaweza hatutaki
  2. D

    David Kafulila afungua kesi Mahakama kuu, kutetewa na Tundu Lissu

    Mbona chadema wana mbunge kigoma acha unafki
  3. D

    Edward Lowassa atoweka ghafla kwenye media nchini

    Media zinafuata what is news by that time ni ujinga kufuata story ambayo haiuzi ndo maana hata Magufuli itafikia wakati amezoeleka linakuja jipya cjui escrow mpyaa ama nene
  4. D

    Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan

    Kwani kufuli aliwahi kufikiria
  5. D

    Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

    Pesa zinawahi chuoni ila first year mnachelewa kupata kutokana na process kama kufungua account kama huna ile inayohitajika
  6. D

    Je wajua hii? Wanaume wavivu kupiga mswaki na kuoga ndiyo hupendwa mno na wapenzi wao

    Vyote hivyo vimetokea na nakula jokate pembeni hapa huku alikiba akiimsumbua kumpigia simu
  7. D

    Nani anafaa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    Wewe nawe katiba gani umeiangalia siyo lazima awe mbunhe kumbuka mwaka jana wakili marando wa chadema alikuwa kwenye uchaguzi kule bungeni
  8. D

    Kushindwa kunyakua Majimbo ya Ubungo na Iringa, ni hujuma ndani ya CCM?

    Serikali nimfumo siyomtu mmoja kua meya mkurugenzi mkuu wa wilaya mkuu wa mkoa madiwani wote hao vinawahusu
  9. D

    Zawadi ya TZS 500,000/= kwa Humphrey Polepole

    Mimi hapa hamphrey niibox namba zako tuwasiliane:sly::
  10. D

    Dr. Slaa na Prof. Lipumba nashauri wahamie ACT-Wazalendo

    Mbona unyoongea ndo yanafanana na wanayotolewagwa na hao watu
Back
Top Bottom