Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan

Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan

12193724_159660101053292_1155602019935774272_n.jpg


Hivi alipokuwa na miaka 18 - 25 alikuwa na muonekano gani hapa kilometa zimesha kwenda sana lakini anaonekana mrembo si mchezo.


Hayo macho mi hoi.
 
Huyu Mama kapata zali hata hakuwahi kufikilia!
 
Kwa Upande wangu naiomba serekali ya Makufuli , imtumilie huyu Dada kwa badhi ya mambo fulani tu, kama ilivyokuwa yule Dada wa Kizenj waziri wapesa ,ilikuwa Nchimba ndio anawakilisha Tz ,hawa watu wa Makka kuna sehemu inakuwa ni vigumu kuwachanganya au kutuwakilisha hasa wanawake wao ,pia ningeomba wenye umahari wamshawishi huyu Dada akiwa katika shuhuli za kichana na serekali aondowe kilemba . nawasilisha.
 
Kwa Upande wangu naiomba serekali ya Makufuli , imtumilie huyu Dada kwa badhi ya mambo fulani tu, kama ilivyokuwa yule Dada wa Kizenj waziri wapesa ,ilikuwa Nchimba ndio anawakilisha Tz ,hawa watu wa Makka kuna sehemu inakuwa ni vigumu kuwachanganya au kutuwakilisha hasa wanawake wao ,pia ningeomba wenye umahari wamshawishi huyu Dada akiwa katika shuhuli za kichana na serekali aondowe kilemba . nawasilisha.

Lofa mkubwa we. Umeshindwa hata kuficha ubaguzi wako wa udini?!!
 
Waisilamu wanasema msema kweli ndio kipenzi cha Mungu sasa ndugu kuna ubaya gani kuwa kipenzi cha Mungu ?

.... Yuko wapi Lukuvi atusaidie ?.
 
Makamu wa rais ni nafasi exclusive kwa ajili ya Waislam tu.

CCM waliua utaratibu mzuuuri wa kupokezana nafasi za Urais kati ya wazanzibar na watanganyika. Watanganyika wakapora zamu ya zanzibar, kwa ghiliba, fitna na uchochezi ulioambatana na kuchafuliwa kwa viongozi wetu mahiri kama Salim ahmed salim.

Sasa imekuwa Rais wa JMT lazima atoke Bara. Tena baraza la wale wazee wa Kurasini lazima limridhie. Kwakuwa Rais na makamu wake lazima watoke pande tofauti za Muungano, ni vigumu kwa mifumo waliyonayo wazanzibar kumpata mtu mwenye hadhi ya kuwa Makamu wa Rais.
 
Hivi wakati anaapishwa walikumbuka kumkabidhi mkasi?
 
Kwa Upande wangu naiomba serekali ya Makufuli , imtumilie huyu Dada kwa badhi ya mambo fulani tu, kama ilivyokuwa yule Dada wa Kizenj waziri wapesa ,ilikuwa Nchimba ndio anawakilisha Tz ,hawa watu wa Makka kuna sehemu inakuwa ni vigumu kuwachanganya au kutuwakilisha hasa wanawake wao ,pia ningeomba wenye umahari wamshawishi huyu Dada akiwa katika shuhuli za kichana na serekali aondowe kilemba . nawasilisha.

Una dead conscience nakemea ushindwe kabisaaaaaa
 
Back
Top Bottom