Unajuwa kuandika au kuzungumza ni rahisi sana. Je amefikilia mtaji ametoa wapi hyo kijana wa mtaani. Anajuwa changamoto za kusafiri biashara zilivyo au anaona mtu anashusha mzigo wake yeye anahisi simple tu kama mjomba ake anavyofanya hiyo kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
" Alisema katika matokeo ya sensa hiyo hadi kufikia mwaka 2013, Tanzania ilikuwa na jumla ya viwanda 49,243 ambapo viwanda vidogo vinavyoajiri mtu mmoja hadi wanne vilikuwa ni asilimia 85.13 na viwanda vidogo vyenye watu watano hadi 49 vilikuwa asilimia 14.02.
Alisema matokeo hayo pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.