Benki: Mnaendeleaje kudai marejesho na hali hii? Waziri wa Biashara yupo?

maishapopote

JF-Expert Member
May 28, 2009
3,277
5,513
Corona ime-threat biashara nyingi mno, watu wanakwepa kutoka na kuna biashara zimeyumba mno! Niliamini Waziri husika angalau angeshawishi mabenki yasidai madeni hadi hali itakapotengemaa, hata kodi ya vitu vilivyopo bandarini ingepunguzwa ikiwemo na kodi za TRA.

Sijaona Ushiriki wa makampuni Makubwa kama Vodacom, Twiga Cement, Bakhresa, Mo, na mengineyo. Sio tu kwenye kulegeza bei ya bidhaa zao lakini hata kutoa misaada ya Vitakasa Mikono na sabuni za maji etc

Tuwahi kila kitu mapema

Kuna Mahali kila mtu anakosea!

Niko tayari kukosolewa kwa maana ya kujenga nisiwe nimetuhumu wengi.



MP.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mabenki wameajiri wafanyakazi wanalipwa mshahara, walinzi, umeme, kodi, na matumizi mengine, wasidai madeni wafanyakaz wao watalipwa mshahara kutoka wapi?
 
maishapopote,
Kama unamkopo benki na unahisi biashara yako imeshuka kutokana na korona ,basi waandikie barua ukielezea hali ilivyokuathiri. Benki haiwezi acha kudai kama hujaomba n Apia inafuata mkataba mlioingia mwanzo
 
orona ime-threat biashara nyingi mno, watu wanakwepa kutoka na kuna biashara zimeyumba mno! Niliamini Waziri husika angalau angeshawishi mabenki yasidai madeni hadi hali itakapotengemaa, hata kodi ya vitu vilivyopo bandarini ingepunguzwa ikiwemo na kodi za TRA.
Wizara ya fedha njooni mtupe majibu. Tumechoka na hizi simu za marejesho kila saa
 
Back
Top Bottom