Recent content by Dereva Bodaboda Mstaarabu

  1. Dereva Bodaboda Mstaarabu

    Kwa uongeaji huu wa Moses Iyobo unaleta umashaka kwa mtoto wa kiume

    Sijaona tatizo kwenye sauti wala chochote kile,,,huyu jamaa anawish kuja kuongea kistaa sana lakini anashindwa ni vipi awe na kastaili kake kakuongea kakizazi sana,,
  2. Dereva Bodaboda Mstaarabu

    NINAMTAFUTA MDAU CBE DODOMA

    WAKUU kama kuna mtu anamdau anasoma CBE DODOMA kozi ya Diploma ICT Intake ya March 2018 naomba aniunganishe naye plz. Asante sana.
  3. Dereva Bodaboda Mstaarabu

    Kuna tatizo kwenye mafunzo ya askari hawa

    Kwenye suala la kukata shingo kulia na wengine kuangalia mbele ni kawaida,,,yaani huyu wa kulia ni lazima aangalie mbele lakini wengine wote wanakata kulia
  4. Dereva Bodaboda Mstaarabu

    Hivi ni kweli baadhi ya tabia anazoonesha mjamzito huashiria jinsia ya mtoto

    Kunakaukweli aisee,, Hivi hawa wasanii wa mbele mbona nawasikia wakisema anatarajia kuzaa mtoto wa kike,,kwani kunamashine zinaweza ona Jinsia ndani ya tumbo?
  5. Dereva Bodaboda Mstaarabu

    Gundua kitu kwenye hizi picha

    Picha ya tatu,,jamaa kasimama juu ya vichwa vya watu
  6. Dereva Bodaboda Mstaarabu

    JamiiForums Usiku wa manane

    Hahahaaa hapa makao makuu ya Tz,, yaani Jiji la Dodoma ni saa 4:49 AM
  7. Dereva Bodaboda Mstaarabu

    Pamoja na malalamiko yasiyoisha kuhusu udogo wa mishahara, hakuna Mtumishi yeyote mwenye jeuri ya kuacha kazi

    Thubutu yakooo,, nani aache kazi,, wakati watu wanaelimu hizo na hawana ajira,,, na ninaamini siku mtu akilopoka aache kazi atatangaza ajira mpya za kufidia chap chap,,, So kila mmoja analinda nafasi yake hata kama hapaongezeki.
  8. Dereva Bodaboda Mstaarabu

    Special Treads for USM ALGER VS Dar es Salaam Young Africa

    Mapumziko,,matokeo ni mbili moja
Back
Top Bottom