Sijaona tatizo kwenye sauti wala chochote kile,,,huyu jamaa anawish kuja kuongea kistaa sana lakini anashindwa ni vipi awe na kastaili kake kakuongea kakizazi sana,,
Kwenye suala la kukata shingo kulia na wengine kuangalia mbele ni kawaida,,,yaani huyu wa kulia ni lazima aangalie mbele lakini wengine wote wanakata kulia
Kunakaukweli aisee,,
Hivi hawa wasanii wa mbele mbona nawasikia wakisema anatarajia kuzaa mtoto wa kike,,kwani kunamashine zinaweza ona Jinsia ndani ya tumbo?
Thubutu yakooo,, nani aache kazi,, wakati watu wanaelimu hizo na hawana ajira,,, na ninaamini siku mtu akilopoka aache kazi atatangaza ajira mpya za kufidia chap chap,,, So kila mmoja analinda nafasi yake hata kama hapaongezeki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.