Gundua kitu kwenye hizi picha

Gundua kitu kwenye hizi picha

Picha ya 3 kwa chini kwenye back ground kuna picha za sura yake nyingiii
 
Hiyo ya mwisho hao madem watatu wamekaa hewani hakuna ubao wa kukalia kwenye hilo bench
 
Hizi ni picha mbali mbali kutoka kwenye mtandao ambazo kila moja ilikuja na fumbo but ukashindwa kujibu.

Sasa unakuja kwetu kutafuta majibu na uchukue miji juu.😀😀
 
Hizi ni picha mbali mbali kutoka kqenye mtandao ambazo kila moja zilikuja na fumbo but ukashindwa kujibu.

Sasa unakuja kwetu kutafuta majibu na miji juu.
Hahhahaha ushafikaa alafu somytm nikishapewa ma ban yangu nakumiss
 
Picha ya kwanza nimeshindwa ya pili huyo ni mbwa kalala ya tatu hayo majani ni vichwa vya huyo jamaa,ya nne kunadada mmoja hapo hana miguu ya tano huyo dada wakat anamikono mitatu
 
Hizi ni picha mbali mbali kutoka kwenye mtandao ambazo kila moja ilikuja na fumbo but ukashindwa kujibu.

Sasa unakuja kwetu kutafuta majibu na uchukue miji juu.😀😀
Hapana zote najua majibu yake
 
Picha ya kwanza nimeshindwa ya pili huyo ni mbwa kalala ya tatu hayo majani ni vichwa vya huyo jamaa,ya nne kunadada mmoja hapo hana miguu ya tano huyo dada wakat anamikono mitatu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Picha ya kwanza nimeshindwa ya pili huyo ni mbwa kalala ya tatu hayo majani ni vichwa vya huyo jamaa,ya nne kunadada mmoja hapo hana miguu ya tano huyo dada wakat anamikono mitatu
Ya kwanza kuna mtu mrefu ajabu kuleee mwisho kwenye goli la basketball

Kavaa nyeusi
 
Nafikiri hizi picha zilipopigwa waligundua kuna majini wanaonekana kwa nyuma ila zingine ni tofauti kama zimeongezwa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom